Prince Nadheem
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 1,253
- 1,028
Kwa kigezo kipi? Kama ni Speed basi Scania yupo juu, labda UD ni ule uwezo wake wa kwenda safari ndefu kama kina Taqwa zile za Mombasa to Lusaka au Harare. Ila mwendo hapo Scania hana mpinzaniUD ni gari msweden na mchina hawatii mguu hapo.