mogulnoise
JF-Expert Member
- Oct 28, 2014
- 2,445
- 5,555
Neno lilimjia Mogul juu ya Taifa la Tanzania na kwa habari za Waziri Mkuu 2025-2030 andika.
Tazama yule aliyedharaulika then Bwana akamchagua na kumketisha katika meza ya wakuu sasa ni wakati wake ili litubitishwe neno la Bwana.
Paul Makonda litumikie kusudi la Bwana katika nafasi hii ulioandaliwa kwayo si rahisi na si kwa nguvu zako wala ujanja au maarifa ulionayo ila ni kwa sababu ya kilichoandaliwa mbele yako kama Yusuph kayatimize yote kwa utukufu wa Mungu.
Nikipata nafasi nitakufahamisha juu ya huu unabii nilioonyeshwa kwako ingawa sio mtumishi wa Mungu bali muhumini nisiyestahili hata kuliita jina la Bwana.
Wasalaamu.
Tazama yule aliyedharaulika then Bwana akamchagua na kumketisha katika meza ya wakuu sasa ni wakati wake ili litubitishwe neno la Bwana.
Paul Makonda litumikie kusudi la Bwana katika nafasi hii ulioandaliwa kwayo si rahisi na si kwa nguvu zako wala ujanja au maarifa ulionayo ila ni kwa sababu ya kilichoandaliwa mbele yako kama Yusuph kayatimize yote kwa utukufu wa Mungu.
Nikipata nafasi nitakufahamisha juu ya huu unabii nilioonyeshwa kwako ingawa sio mtumishi wa Mungu bali muhumini nisiyestahili hata kuliita jina la Bwana.
Wasalaamu.