Yusuf Manji kuhamishia biashara zake zote nchini Zambia

Sio Manji pekee Wafanyabiashara wengi wamekimbilia Zambia,Uzuri wa Zambia ukiwalipa kodi hawakusumbui tena na hawana EFD wala ujinga wa risiti na ndio Nchi ambayo mizigo mingi inaingia kutoka SA na China kupitia Durban maana Tanzania walikimbia baada ya kuwekewa VAT kwenye transit goods sasa imefutwa wao washazoea tena SA...bandari zipo nyingi mnaleta usumbufu watu wanaangalia kwenye unafuu tu..
Nakumbuka wale wafanya biashara, tena watanzania pale Tunduma.
Baada ya kusumbuliwa na TRA muda mrefu wakasema uzalendo siyo dili kwa usumbufu wanaoupata, na wakahamia Nakonde Zambia.

Zambia wakawakaribisha kwa kodi stahiki kiduchu, na hawajarudi hadi leo.
 
Tajiri kukubali kuishi kama shetani ni matumizi mabaya ya akili,wengi walihamishia Pesa zao Kenya, south Africa biashara walizihamishia Zambia,Congo,Malawi,Msumbiji,hata malori mengi yamehamishiwa huko yanakwenda maputo yanachukua mizigo kupitia Malawi wanaendelea kutengeneza Pesa kama kawaida,masikini hana uwezo wa kumkomoa tajiri.Sisi ndio looser mfano watu zaidi ya laki moja wamekosa Kazi hawa ni sh ngani walichangia mifuko ya jamii kila mwezi si chini ya sh laki moja kila mwezi, ujaja kodi, mamlaka zote kuanzia OSHA, Sumatra, TBS, tfda,TRA, halmashauri, nk ni kiasi gani mapato yao yameathirika yamepungua kwa watu kuhamisha mitaji nje.Kiuchumi kanuni ya namba iko hivi ukisomesha watu namba wakimaliza kuisoma namba lzm mgawa namba uisome pia inaitwa cause and effect principal, maana mashetani sasa hayana uwezo wa kuchangia mifuko ya jamii,tajiri wa kuchangia mifuko ya jamii na kodi na Tozo zote either kafilisika au kahamisha nje mtaji wake,matokeo yake ni kukauka kwa kibubu sawa na kuizuia mifereji iingizao maji bwawani.Kibubu kikikauka utashindwa kuhudumia watu ukishindwa kuhudumia watakuchukia,chuki na hasira zikizidi watatafuta mabadiliko popote pale kujinasua na hali.
Ni sawa kabisa maana haiwezekani mwehu mmoja atake tuishi kama mashetani wakati pesa tumetafuta wenyewe

Nambariki kabisa akafanikiwe
 
IMG-20181204-WA0012.jpg
IMG-20181204-WA0022.jpg
IMG-20181204-WA0021.jpg
IMG-20181206-WA0025.jpg
IMG-20181206-WA0024.jpg
 
Aisee inauma sana. Maelfu wanaenda kukosa kazi wao na wategemezi wao watakosa hata uhakika wa mlo. Rais ajitafakari sana kuhusu haya yanayoendelea. Mabavu hayawezi kuisaidia hii nchi. Manji akiondoka itachukua tena miaka hamsini kumpata/kumtengeneza Manji mwingine.
Kuwekeza Africa ni risk sana siasa hazitabiliki Sababu ya intervene ya China China ni rafiki wa madikteta wote Africa kwake ujali Pesa
 
Tajiri kukubali kuishi kama shetani ni matumizi mabaya ya akili,wengi walihamishia Pesa zao Kenya, south Africa biashara walizihamishia Zambia,Congo,Malawi,Msumbiji,hata malori mengi yamehamishiwa huko yanakwenda maputo yanachukua mizigo kupitia Malawi wanaendelea kutengeneza Pesa kama kawaida,masikini hana uwezo wa kumkomoa tajiri.Sisi ndio looser mfano watu zaidi ya laki moja wamekosa Kazi hawa ni sh ngani walichangia mifuko ya jamii kila mwezi si chini ya sh laki moja kila mwezi, ujaja kodi, mamlaka zote kuanzia OSHA, Sumatra, TBS, tfda,TRA, halmashauri, nk ni kiasi gani mapato yao yameathirika yamepungua kwa watu kuhamisha mitaji nje.Kiuchumi kanuni ya namba iko hivi ukisomesha watu namba wakimaliza kuisoma namba lzm mgawa namba uisome pia inaitwa cause and effect principal, maana mashetani sasa hayana uwezo wa kuchangia mifuko ya jamii,tajiri wa kuchangia mifuko ya jamii na kodi na Tozo zote either kafilisika au kahamisha nje mtaji wake,matokeo yake ni kukauka kwa kibubu sawa na kuizuia mifereji iingizao maji bwawani.Kibubu kikikauka utashindwa kuhudumia watu ukishindwa kuhudumia watakuchukia,chuki na hasira zikizidi watatafuta mabadiliko popote pale kujinasua na hali.
Inatia hasira sana kuona mwenye mamlaka akitapanya uchumi wa nchi
 
Back
Top Bottom