Yusuf Makamba: Lowassa ni mtu wa watu!

Yusuf Makamba: Lowassa ni mtu wa watu!

Kwa ujumla EL sio tatizo kwangu, hata watanzania mpaka sasa wanachanganyikiwa hivi kweli Richmond ni yeye au Jk, maana JK alipaswa kumkataa na hoja zake wakati wa vikao vyao Dodoma, lakini Jk alinyamaza kuonyesha anakubaliana na alilosema EL, shida yangu kubwa ni ccm na mfumo wake wa kifisadi, hakuna namna unayoweza kumtenga mwana ccm na mfumo fisadi, hata leo akapewa Mwakyembe, Sitta nk watakumbwa na mfumo fisadi ndani ya ccm, njia pekee ya kuepuka hilo ni kuikataa ccm kwa kura ili tubadili mfumo fisadi uliokolea Tanzania.
 
Mnamwogopa sana El sio,ndo rais ajae tena kwa kura nying pigen kelele mwenzen alizaliwa aiongoze Tz,Slaa alizaliwa awe mtumish wa Mungu mazma!kataa uone

On the contrary we are praying really hard for Lowassa to be a flag bearer of his party in the 2015 general election.I cannot say why for real,I just keep it to myself,Hope God will heed to our prayers.
 
wewe nawe..mimi ni chadema damu lakini akiwekwa Lowassa sijui na Wenje kugombea urais namchagua Laigwanan

- This is good news kwa CCM, badala ya kuwa na mjadala wa mgombea Urais wa Upinzani kila siku mijadala ni wagombea wa CCM tu, ni dalili kwamba huko upande wa pili wameshajikatia tamaa kabisaaa!!

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!

Le Mutuz
 
Nani kakuambia Lowassa ni Mmasai,au kwa kuwa anaishi Monduli jimbo lenye Wamasai wengi?
Kwa wale wanaopenda kupotosha ukweli basi mjue Lowassa ni MMERU na sio Mmasai!
Wamasai ni watu waadilifu mno,na wasio na Ukabila na Ubaguzi km wa Lowassa anaejaribu kutugawa watu wa Arusha haswa Wachagga na Wamasai. Ushindwe Mmeru ktk jina la Yesu.


------- kabisa kwa baadhi ya wamasai wasio na busara (nasema baadhi maana sio wote ni wehu) ndio mnaowagawa watu wa arusha mkiongozwa na huyo medeye wenu...rejea vikao ,mlivyofanya viwanja vya arusha Tech. Eti mnataka wachaga tuondoke ktk jiji la arusha.

Kakudanganya nani Lowasa ni Mmeru?? Huyo ni Mmasai pure, ukae ukijua hivyo mon'go
 
- This is good news kwa CCM, badala ya kuwa na mjadala wa mgombea Urais wa Upinzani kila siku mijadala ni wagombea wa CCM tu, ni dalili kwamba huko upande wa pili wameshajikatia tamaa kabisaaa!!

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!

Le Mutuz

You very wrong big-headed moron,It's already known who will fly the Opposition flag.I simply feel sorry for CCM Party coz Lowassa is too strong to stop him from securing his Party's Presidential candidacy once that's done i guarantee you Malecela Junior CCM will lose it badly and in shame the election.
 
- This is good news kwa CCM, badala ya kuwa na mjadala wa mgombea Urais wa Upinzani kila siku mijadala ni wagombea wa CCM tu, ni dalili kwamba huko upande wa pili wameshajikatia tamaa kabisaaa!!

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!

Le Mutuz

Labda niombe tu Madaktari wakusaidie kukufanyia uchunguzi wa Kichwa kwani inawezekana wewe sio mzima?
Hukusoma mada kuwa ni nani aliesema Lowassa ni mtu wa watu?
Hakuna anaejadili mambo ya Mgombea wa CCM ila tunachojadili ni Kauli iliyotolewa na Makamba aliewahi kuwa katibu mkuu wa CCM.

Kwa hiyo nyie CCM mnajitekenya na kucheka wenyewe. Kajipange upya wewe ZUZU!
 
Nani kakuambia Lowassa ni Mmasai,au kwa kuwa anaishi Monduli jimbo lenye Wamasai wengi?
Kwa wale wanaopenda kupotosha ukweli basi mjue Lowassa ni MMERU na sio Mmasai!
Wamasai ni watu waadilifu mno,na wasio na Ukabila na Ubaguzi km wa Lowassa anaejaribu kutugawa watu wa Arusha haswa Wachagga na Wamasai. Ushindwe Mmeru ktk jina la Yesu.


------- kabisa kwa baadhi ya wamasai wasio na busara (nasema baadhi maana sio wote ni wehu) ndio mnaowagawa watu wa arusha mkiongozwa na huyo medeye wenu...rejea vikao ,mlivyofanya viwanja vya arusha Tech. Eti mnataka wachaga tuondoke ktk jiji la arusha.

Kakudanganya nani Lowasa ni Mmeru?? Huyo ni Mmasai pure, ukae ukijua hivyo mon'go

Kawadanganye wajinga Wenzio! Kumbe ni kweli watu wengine km wewe siku zote mnajua EL ni Mmasai? Nenda Monduli kaulizie historia ya huyo MMERU!

Halafu OLE Medeye yeye si sawa na Kopo la Chooni ambalo hutumika kwa maji ya Kuchambia na haliwezi kukataa!
Nani asiejuwa kuwa cheo alichonacho ni Jitihada za Lowassa, na kazi anayoifanya MEDEYE kujaribu kuwagawa Wana Arusha kwa Ukabila ni anatumwa pia na Lowassa?

Msidhani bado Watanzania ni wajinga km zamani. M4C imewazindua watu kwa hiyo sasa inakula kwenu Mafisadi.
 
Lowassa ni mtu wa wauza unga, hili siyo siri. Makamba acha kusema uongo.
 
Yeye ni mchaga wa masama kwa vyovyote vile jamaa ni mchapa kazi sana na ni imara ktk kusimamia utekelzaji na maamuzi.shida ni kale ka richmond, mpaka leo sijui ukweli ni nini?ila kama hahusiki atatufaa sana
 
watu wenye akili zilizofubaa huwaza sawa na wewe
249166_3194538225964_888897472_n.jpg
Ukosefu wa pesa na njaa ndo adui mkubwa kabisa wa mwanadamu.

CCM wanafahamu hilo,hao kina mama wanajidhalilisha hivyo ili wapewe pesa ama kanga mpya.
 
CCM inajiandalia mafuta ya kujikaangia yenyewe kwa kuendekeza makundi ndani ya chama.Ambapo kila kundi lina mtu wake ambae wanaamini kuwa anafaa kuwa kiongozi na atakaposhindwa kwenye kura za chama hicho watu wake hawataridhika na kushindwa huko hivyo wataungana na wapinzani kwa kulipinga kundi lililoshinda ili wakose wote.

Lowasa atosha 2015 ningeshangaa sana kama kpenz cha membe ben saanane asngechangia akiona neno lowasa anatetemeka kwa hofu..lowasa rais 2015
 
Lowasa akiwa raisi nitajua hili ni taifa la wanyama pori na si binadamu wa kawaida.
 
Nani kakuambia Lowassa ni Mmasai,au kwa kuwa anaishi Monduli jimbo lenye Wamasai wengi?
Kwa wale wanaopenda kupotosha ukweli basi mjue Lowassa ni MMERU na sio Mmasai!
Wamasai ni watu waadilifu mno,na wasio na Ukabila na Ubaguzi km wa Lowassa anaejaribu kutugawa watu wa Arusha haswa Wachagga na Wamasai. Ushindwe Mmeru ktk jina la Yesu.
Una maana gani? Unatuchanganya kutuambia eti EL ni Mmeru. Kama sio uzushi fafanua!!!
 
Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu Yusuf Makamba katibu mkuu mstaafu wa CCM ameibuka na kudai kuwa Mbunge wa Monduli na Waziri mkuu wa zamani EDWARD LOWASSA ni mtu wa watu na anafaa kuwa kiongozi wa juu ktk serikali.

Kauli hii ya Makamba ni muendelezo wa kile kinachodaiwa kwamba Kambi ya Lowassa ya Urais inachanja mbuga kuelekea Ikulu hapo 2015.

Source; Radio Free Afrika tuzungumze Magazeti.

hivi kumbe hawa makatibu wakuu wa sisiemu waliopigwa chini kutokana kwa kutokwa povu baada ya kushindwa kuhimili spidi ya CDM, nao wanaitwa wastaafu ..
 
Jamani hamna watu wenye afya wakapewa nchi tunampa mtu mahututi?
 
Maumivu ya Richmond tupate sisi, pesa ale yeye na urais autake yeye!! Mmmmh Majanga hayo.
 
Back
Top Bottom