Yusuf Makamba: Lowassa ni mtu wa watu!

Yusuf Makamba: Lowassa ni mtu wa watu!

- Duh!! guaranteee Chadema will lose it badly hilo wala halina ubishi, maana hakuna mjadala wa Urais zaidi ya wagombea wa CCM, tumia akili kidogo tu nani Strong Candidate wa Upinzani saa hivi kwa nafasi ya Urais?

Le Mutuz
unazijua kura halisi za uraisi za 2010?
 
Ndani ya chama chake cha kitajiri! hakuna wa kumshika lakini kwa masikini wenye nchi atatangaziwa anguko saa nne asubuhii!!
 
Ni kweli lowasa c mmasai,alinunua okoo tu. Na mi nadhani lowasa akigombea urais itakuwa rahisi kwa cdm kushinda,halafu lowasa mtu wa watu wepi hao? Ci hao anaowapa pesa za richmond na za halmashauri? Kwan lowasa monduli mbona hakuna alichofanya? Mbona kawadhulun watu mashamba na kuwapa wagen
 
Back
Top Bottom