Yusuf Bakari abaka kuku

Yusuf Bakari abaka kuku

Mupirocin

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
1,763
Reaction score
819
Mshikaji mmoja mwenye jina hilo amekamatwa kwa kubaka kuku na kuisababishia maumivu makali. Jamani hivi mademu wamekwisha. Huyu jamaa lazima apimwe akili.
Source TBC1: gazeti la jambo leo
 
Mshikaji mmoja mwenye jina hilo amekamatwa kwa kubaka kuku na kuisababishia maumivu makali. Jamani hivi mademu wamekwisha. Huyu jamaa lazima apimwe akili.
Source TBC1: gazeti la jambo leo

Si jambo la kawaida kwa mwanadamu wa kawaida kufanya jambo kama hili, hivyo nafikiria yafuatayo
  • Ana matatizo ya akili
  • Kuna suala la imani za kishirikina.
Na hapa najiuliza kipuuzi, sijui kesi za kubaka wanyama mahakama inazishughulia kama kesi za kawaida za kubaka?
 
Jamani wanaume waruhusiwe kuoa wake zaidi ya mmoja ili watu wasibake kuku.

Bora hata angechagua bata ana hips
 
Siyo Musoma kweli hii. Jana nilikuwa Ofisi za Manispaa nikakuta kuku aliyebakwa kaletwa ili bwana mifugo athibitishe. Watu waliomchungulia wanadai kuku alikuwa kaharibiwa vibaya na mhutumiwa ni baba mwenye mke na watoto.
What a shame! Kuku anabakwa, watoto wataachwa?
 
Wanasheria tusaidieni, sheria inasemaje kuhusu hili la mtu kubaka ndege/mnyama?
 
Hili linaangukia kwenye penal code under unnatural offence sikumbuki section ngap ila na adhab yake imejieleza kwenye hicho kifungu
Wanasheria tusaidieni, sheria inasemaje kuhusu hili la mtu kubaka ndege/mnyama?
 
Anastahili kifungo cha maisha, bora hata abake ng'ombe au tembo.

Siyo Musoma kweli hii. Jana nilikuwa Ofisi za Manispaa nikakuta kuku aliyebakwa kaletwa ili bwana mifugo athibitishe. Watu waliomchungulia wanadai kuku alikuwa kaharibiwa vibaya na mhutumiwa ni baba mwenye mke na watoto.
What a shame! Kuku anabakwa, watoto wataachwa?
 
Hivi kuku ana naniii kias gani maana mmhh
 
Huyu Yusuf Bakari kwa vyovyote atakuwa kada wa ccm ..
 
Hahaaaa mademu wenyewe wanapenda hela hatariiii bora kugonga kuku tu
 
Back
Top Bottom