halafu kesho unakuja kulalama kuna udini wakati uppuzi wako huu ni tatizo kwanchi
this is when silly minds run the brains
umechemka sana aisee, it is a shame, really shame hata ugonjwa wa akili kuuingiza na udini
hata mm namshangaa sana huyu!sijui amesahau ile kashfa ya ushoga na kulawiti vitoto vidogo inayowakabili viongoz wake!!