Kingunge ni muasisi wa Chama Cha Mapinduzi, wewe kadi yako ni namba ngapi hadi uwe na uwezo wa kumnyoonshea kidole?
Nyie ndiye mnayemtangaza kuwa Edo ni fisadi, maana ishu ya Richmond anayotuhumiwa nayo, ameshaiweka clear na mwenye Richmond hata wewe unamjua! Yule alietutangazia alivyoenda USA alionana na wenye Richmond, aje atueleze ni kinanani alioonana nao?
Hiyo ni Richmond ni Richard Monduli