masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,167
Katika kipindi cha Power Breakfast leo asubuhi, Yussuf Manji wa Yanga amemtuhumu mzee Kingunge kuwa si mkweli na anahisia za kinafiki.
Amesema mwaka 2005, yeye Yussuf Manji alipata kura za kutosha kabisa katika mapendekezo ya kuwania jimbo la Kigamboni.
Kingunge wakati huo akiwa Kingunge wa kweli, alitumika kulikata jina lake , ati kwa kisingizio cha umri.
Hiyo ni licha ya wana CCM kumkubali katika kura za mapendekezo.
Ameshangaa sasa iweje leo Kingunge huyo huyo anaialia kwa Jina la Lowassa kukatwa alimradi yeye alianzisha mtindo huo, na hatimaye kukimbilia UKAWA.
MY TAKE
What goes around comes around!
Hata waswahili walisema mtenda hutendwa, mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu.
Asante Manji kwa kutukumbusha hili.
Amesema mwaka 2005, yeye Yussuf Manji alipata kura za kutosha kabisa katika mapendekezo ya kuwania jimbo la Kigamboni.
Kingunge wakati huo akiwa Kingunge wa kweli, alitumika kulikata jina lake , ati kwa kisingizio cha umri.
Hiyo ni licha ya wana CCM kumkubali katika kura za mapendekezo.
Ameshangaa sasa iweje leo Kingunge huyo huyo anaialia kwa Jina la Lowassa kukatwa alimradi yeye alianzisha mtindo huo, na hatimaye kukimbilia UKAWA.
MY TAKE
What goes around comes around!
Hata waswahili walisema mtenda hutendwa, mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu.
Asante Manji kwa kutukumbusha hili.