Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,204
- 3,009
Huyu bwana Palamaganda Aidan Kabudi alitamba Sana enzi za JPM, aliteuliwa kuongoza majadiliano na Barrick Gold, na alijitahidi kwa kiasi chake. Badae akawa waziri wa Sheria na Katiba na finally akawa Waziri wa Mambo ya nje.
Alijisifu Sana alivyokuwa waziri wa mambo ya nje, lakini wabobezi wanasema alihusika kwa kiasi kikubwa kuharibu diplomasia ya Tanzania. Now hana cheo chochote, na amepotea ata Bungeni hasikiki, haulizi maswali, ATA swali la nyongeza haulizi.
Yupo wapi huyu bwana
Alijisifu Sana alivyokuwa waziri wa mambo ya nje, lakini wabobezi wanasema alihusika kwa kiasi kikubwa kuharibu diplomasia ya Tanzania. Now hana cheo chochote, na amepotea ata Bungeni hasikiki, haulizi maswali, ATA swali la nyongeza haulizi.
Yupo wapi huyu bwana