Yupo wapi Profesa Kabudi

Mto wa mbu

JF-Expert Member
Aug 8, 2021
2,204
3,009
Huyu bwana Palamaganda Aidan Kabudi alitamba Sana enzi za JPM, aliteuliwa kuongoza majadiliano na Barrick Gold, na alijitahidi kwa kiasi chake. Badae akawa waziri wa Sheria na Katiba na finally akawa Waziri wa Mambo ya nje.

Alijisifu Sana alivyokuwa waziri wa mambo ya nje, lakini wabobezi wanasema alihusika kwa kiasi kikubwa kuharibu diplomasia ya Tanzania. Now hana cheo chochote, na amepotea ata Bungeni hasikiki, haulizi maswali, ATA swali la nyongeza haulizi.

Yupo wapi huyu bwana
 
Huyu bwana Palamaganda Aidan Kabudi alitamba Sana enzi za JPM, aliteuliwa kuongoza majadiliano na Barrick Gold, na alijitahidi kwa kiasi chake. Badae akawa waziri wa Sheria na Katiba na finally akawa Waziri wa Mambo ya nje.

Alijisifu Sana alivyokuwa waziri wa mambo ya nje, lakini wabobezi wanasema alihusika kwa kiasi kikubwa kuharibu diplomasia ya Tanzania. Now hana cheo chochote, na amepotea ata Bungeni hasikiki, haulizi maswali, ATA swali la nyongeza haulizi.

Yupo wapi huyu bwana
Unaongelea Kabudi yule aliyekunywa ile dawa toka Madagascar?? yule si kapanda cheo yupo Ikulu na Mama anasimamia Mawaziri yeye na Lukuvi eti..,
 
Aseme nini wakati viongozi wote wanamnanga kipenzi chake jpm! Kaamua kurudi jalalani
 
Back
Top Bottom