Yupo wapi Profesa Kabudi

Yupo wapi Profesa Kabudi

Profesa aliondolewa cheo na Rais mwenye Masters ya open universiry.Katiba ya Tanzania inafurahisha sana.
Open university ni chuo cha serikali kimenzishwa kwa sheria ya bunge ya mwaka 1992 na kimeanza operation mwaka 1993.

Kina maprofesa na madocta (phd holder) wa kutosha kutoka vyuo vikuu mbali mbali dunia kuanzia udsm hadi mamtoni

Kina machapisho ya kutosha ya tafiti mbali za kisayansi.

Bila shaka wewe ndio unafurahisha

Halafu ya mambo ya kutambia vyuo ni kishamba na kilimbukeni ni moja ya intellectual arrogance.

Unashangaza.
 
Huyu bwana Palamaganda Aidan Kabudi alitamba Sana enzi za JPM, aliteuliwa kuongoza majadiliano na Barrick Gold, na alijitahidi kwa kiasi chake. Badae akawa waziri wa Sheria na Katiba na finally akawa Waziri wa Mambo ya nje.

Alijisifu Sana alivyokuwa waziri wa mambo ya nje, lakini wabobezi wanasema alihusika kwa kiasi kikubwa kuharibu diplomasia ya Tanzania. Now hana cheo chochote, na amepotea ata Bungeni hasikiki, haulizi maswali, ATA swali la nyongeza haulizi.

Yupo wapi huyu bwana
Jalalani alipotolewa mwanzoni
 
Open university ni chuo cha serikali kimenzishwa kwa sheria ya bunge ya mwaka 1992 na kimeanza operation mwaka 1993.

Kina maprofesa na madocta (phd holder) wa kutosha kutoka vyuo vikuu mbali mbali dunia kuanzia udsm hadi mamtoni

Kina machapisho ya kutosha ya tafiti mbali za kisayansi.

Bila shaka wewe ndio unafurahisha

Halafu ya mambo ya kutambia vyuo ni kishamba na kilimbukeni ni moja ya intellectual arrogance.

Unashangaza.
Akati mimi nataka ni apply pale mwaka huu .....
 
Msizozee Msizozee Sipo Jalalani kama wanavyosema kwa sasa Nipo Ikulu Nasimamia Mawaziri wote hadi Huyo Waziri Mkuu Yuko chini yangu Namsimamia
 
Huyu bwana Palamaganda Aidan Kabudi alitamba Sana enzi za JPM, aliteuliwa kuongoza majadiliano na Barrick Gold, na alijitahidi kwa kiasi chake. Badae akawa waziri wa Sheria na Katiba na finally akawa Waziri wa Mambo ya nje.

Alijisifu Sana alivyokuwa waziri wa mambo ya nje, lakini wabobezi wanasema alihusika kwa kiasi kikubwa kuharibu diplomasia ya Tanzania. Now hana cheo chochote, na amepotea ata Bungeni hasikiki, haulizi maswali, ATA swali la nyongeza haulizi.

Yupo wapi huyu bwana
Mwisho wa ubaya ni fedheha. Amekimbia nchi.
 
Professor huwa hapigi kelele
ila au
1654694402034.png
1654695139594.png
 
Analima nyanya na vitunguu Ilula
Huyu bwana Palamaganda Aidan Kabudi alitamba Sana enzi za JPM, aliteuliwa kuongoza majadiliano na Barrick Gold, na alijitahidi kwa kiasi chake. Badae akawa waziri wa Sheria na Katiba na finally akawa Waziri wa Mambo ya nje.

Alijisifu Sana alivyokuwa waziri wa mambo ya nje, lakini wabobezi wanasema alihusika kwa kiasi kikubwa kuharibu diplomasia ya Tanzania. Now hana cheo chochote, na amepotea ata Bungeni hasikiki, haulizi maswali, ATA swali la nyongeza haulizi.

Yupo wapi huyu bwana
 
Huyu bwana Palamaganda Aidan Kabudi alitamba Sana enzi za JPM, aliteuliwa kuongoza majadiliano na Barrick Gold, na alijitahidi kwa kiasi chake. Badae akawa waziri wa Sheria na Katiba na finally akawa Waziri wa Mambo ya nje.

Alijisifu Sana alivyokuwa waziri wa mambo ya nje, lakini wabobezi wanasema alihusika kwa kiasi kikubwa kuharibu diplomasia ya Tanzania. Now hana cheo chochote, na amepotea ata Bungeni hasikiki, haulizi maswali, ATA swali la nyongeza haulizi.

Yupo wapi huyu bwana
Mshenzi kama huyo unamhitaji wa nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom