Yupo wapi Profesa Kabudi

Yupo wapi Profesa Kabudi

🐒🐒🐒
FUWk7ujXwAQ846f.jpeg
 
Huyu bwana Palamaganda Aidan Kabudi alitamba Sana enzi za JPM, aliteuliwa kuongoza majadiliano na Barrick Gold, na alijitahidi kwa kiasi chake. Badae akawa waziri wa Sheria na Katiba na finally akawa Waziri wa Mambo ya nje.

Alijisifu Sana alivyokuwa waziri wa mambo ya nje, lakini wabobezi wanasema alihusika kwa kiasi kikubwa kuharibu diplomasia ya Tanzania. Now hana cheo chochote, na amepotea ata Bungeni hasikiki, haulizi maswali, ATA swali la nyongeza haulizi.

Yupo wapi huyu bwana
Tapeli huyo mzee hana lolote
 
Mh....Mzee wa Tashwishwi. Enzi zile za Giza yule Mzee alikuwa anaziweza Propaganda, yule Mzee alikuwa anapilika. Nyie mwacheni Mungu aitwe Fundi

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Huyu bwana Palamaganda Aidan Kabudi alitamba Sana enzi za JPM, aliteuliwa kuongoza majadiliano na Barrick Gold, na alijitahidi kwa kiasi chake. Badae akawa waziri wa Sheria na Katiba na finally akawa Waziri wa Mambo ya nje.

Alijisifu Sana alivyokuwa waziri wa mambo ya nje, lakini wabobezi wanasema alihusika kwa kiasi kikubwa kuharibu diplomasia ya Tanzania. Now hana cheo chochote, na amepotea ata Bungeni hasikiki, haulizi maswali, ATA swali la nyongeza haulizi.

Yupo wapi huyu bwana
Kawaida yenu watoto wa huyu kudhihaki wakubwa.
JamiiForums-1926093457.jpg
 
Huyu bwana Palamaganda Aidan Kabudi alitamba Sana enzi za JPM, aliteuliwa kuongoza majadiliano na Barrick Gold, na alijitahidi kwa kiasi chake. Badae akawa waziri wa Sheria na Katiba na finally akawa Waziri wa Mambo ya nje.

Alijisifu Sana alivyokuwa waziri wa mambo ya nje, lakini wabobezi wanasema alihusika kwa kiasi kikubwa kuharibu diplomasia ya Tanzania. Now hana cheo chochote, na amepotea ata Bungeni hasikiki, haulizi maswali, ATA swali la nyongeza haulizi.

Yupo wapi huyu bwana
Nakumbuka sana ndio alijifanya tester wa dawa ya COVID ya Madagascar
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom