elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,743
bila kusahau ngoma ya GK ft TID- tutakukumbuka
Kwa sasa yupo wapi?? Na anafanya nini maana kama katulia fulani hivi!!
Jamani huyu mtu wasanii wakongwe kwenye game nasikia wanamtaja sana, mfano kina Joh Makini, RIP Ngwea. Kwa mwenye kujua huyu mtu alikua ni nani, anafanya nini, na kwa sasa yuko wapi naomba mnijuze wadau!
alikuwa nasoma udsm faculty of engineering enzi hizo ikiitwa FOE now COET,profesa mmoja aliingia class akamsimamisha akamuuliza swali ,alipoanza kujiuma uma tu akamwambia kijana hapa sio mbowe club akimaanisha billicanas ,akamwambia mwaka huu ukiumaliza mimi sio .........na kweli akadiscoDaaah! Umenenaa hapo OCG mselaa alikua kichwa kizurii katika uandishii ila kwa sasa sijui yuko wapii tenaa!
alikuwa nasoma udsm faculty of engineering enzi hizo ikiitwa FOE now COET,profesa mmoja aliingia class akamsimamisha akamuuliza swali ,alipoanza kujiuma uma tu akamwambia kijana hapa sio mbowe club akimaanisha billicanas ,akamwambia mwaka huu ukiumaliza mimi sio .........na kweli akadisco
nasikia huko ameachana na muziki na umri wetu utakuwa umesogea hakosi miaka 35 kwa sasaDoooh! Mkuu umeniachaa hoi! Eti hapa sio mboe club hatarii sanaa! Ilaa kipaji anacho sijui Kama atarudii tenaa
Profesa Ludigo ni miongoni mwa watayarishaji wazuri wa muziki wa Hip Hop na Bongo Fleva hapa nchini Tanzania, kazi nyingi nyingi za wasanii mwishoni mwa miaka ya 90 zilikua na mikono yake!
Aliganya kazi na P-Funk Majani ndani ya Bongo Record na Master Jay katika studio za Mj Records.
Asilimia 70 ya wasanii waliowika miaka ya 1990's mpaka miaka ya 2005 walifanya nae kazi, ndio maana wanamkumbuka sana, kwani kwa kiasi kikubwa alichangia mafanikio yao.
Ludigo yupo Luguruni Makondeko MBEZI YA KIMARA mtu wa tungi mbaya na kuwalaani wanamuziki kuwa hawamjali pamoja na kuwasaidia Sana kiufupi ana stress Sana.
unajua nn mkuu mziki waxaxa mjanga matupu leo kexho aunaham nayo lakin zikipingwa aquelina ocg au akuna kulala by nature bac watu awalali kweli old is gud ivyo yanNadhani Last time alikua the man behind the "Antivirus Project" ya Mapacha,sugu na wenzie...