TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
Aliwahi kuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Karatu kupitia CCM mwaka 2005 na kubwagwa na Dk Willbroad Peter Slaa.
Baadae aliwatumia wananchi watatu wenyeji wa Karatu kufungua kesi dhidi ya Ushindi wa Dk Slaa, kesi ambayo ilitetewa na Tundu Antipas Lissu hatimae kuibuka kidedea.
Wakati akiwatumia wananchi hao kulalamikia ushindi wa Dk Slaa aliteuliwa na Rais Kikwete kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke lakini mwanzoni mwa mwaka 2010 Rais alitengua uteuzi wake katika mabadiliko aliyoyafanya katika Wilaya mbalimbali nchini na kuhaidi kwamba Patrick Tsere atapangiwa kazi nyingine.
Sababu za kutenguliwa kwake hazikujulikana na tangu siku hiyo hadi leo sijasikia yupo wapi majeruhi huyu wa siasa za Karatu.
Baadae aliwatumia wananchi watatu wenyeji wa Karatu kufungua kesi dhidi ya Ushindi wa Dk Slaa, kesi ambayo ilitetewa na Tundu Antipas Lissu hatimae kuibuka kidedea.
Wakati akiwatumia wananchi hao kulalamikia ushindi wa Dk Slaa aliteuliwa na Rais Kikwete kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke lakini mwanzoni mwa mwaka 2010 Rais alitengua uteuzi wake katika mabadiliko aliyoyafanya katika Wilaya mbalimbali nchini na kuhaidi kwamba Patrick Tsere atapangiwa kazi nyingine.
Sababu za kutenguliwa kwake hazikujulikana na tangu siku hiyo hadi leo sijasikia yupo wapi majeruhi huyu wa siasa za Karatu.