Asante CCM
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 346
- 1,301
Siyo kawaida yake kuwa kimya namna hiyo hasa kwenye nyakati za SINTOFAHAMU kubwa nchini kama wakati huu wa suala la BANDARI.
Lakini, mzee Makamba ni kiongozi mstaafu ni wajibu wa Wananchi kufahamu alipo na anaendeleaje.
Wengi wetu tulitarajia waandishi wa habari kama ilivyo ada wangeshamfuata mzee wetu kwenda kutaka maoni yake.
Kwa ukimya huu usio wa kawaida, je, yupo wapi Makamba?!
NB: Usifurahie kifo cha binadamu mwenzako.
Lakini, mzee Makamba ni kiongozi mstaafu ni wajibu wa Wananchi kufahamu alipo na anaendeleaje.
Wengi wetu tulitarajia waandishi wa habari kama ilivyo ada wangeshamfuata mzee wetu kwenda kutaka maoni yake.
Kwa ukimya huu usio wa kawaida, je, yupo wapi Makamba?!
NB: Usifurahie kifo cha binadamu mwenzako.