Yupo wapi mzee Makamba?

Asante CCM

JF-Expert Member
Jun 22, 2023
346
1,301
Siyo kawaida yake kuwa kimya namna hiyo hasa kwenye nyakati za SINTOFAHAMU kubwa nchini kama wakati huu wa suala la BANDARI.

Lakini, mzee Makamba ni kiongozi mstaafu ni wajibu wa Wananchi kufahamu alipo na anaendeleaje.

Wengi wetu tulitarajia waandishi wa habari kama ilivyo ada wangeshamfuata mzee wetu kwenda kutaka maoni yake.

Kwa ukimya huu usio wa kawaida, je, yupo wapi Makamba?!

NB: Usifurahie kifo cha binadamu mwenzako.
 
Atakua alisemwa sana na baadhi ya watu wake wa karibu, baada ya kutoa kauli tata, ambazo zilitafsiriwa kwa mrazamo labda tofauti na aliokusudia. Ni vyema akae kimya hivyohivyo, alee wajukuu. Asipende kua front, atulie kama akina Phillip Mangula, hasahasa ukizingatia hunena kauli tata.
 
Siyo kawaida yake kuwa kimya namna hiyo hasa kwenye nyakati za SINTOFAHAMU kubwa nchini kama wakati huu wa suala la BANDARI.

Lakini, mzee Makamba ni kiongozi mstaafu ni wajibu wa Wananchi kufahamu alipo na anaendeleaje.

Wengi wetu tulitarajia waandishi wa habari kama ilivyo ada wangeshamfuata mzee wetu kwenda kutaka maoni yake.

Kwa ukimya huu usio wa kawaida, je, yupo wapi Makamba?!

NB: Usifurahie kifo cha binadamu mwenzako.
Bila kusahau mbatia mama Tzn
 
Siyo kawaida yake kuwa kimya namna hiyo hasa kwenye nyakati za SINTOFAHAMU kubwa nchini kama wakati huu wa suala la BANDARI.

Lakini, mzee Makamba ni kiongozi mstaafu ni wajibu wa Wananchi kufahamu alipo na anaendeleaje.

Wengi wetu tulitarajia waandishi wa habari kama ilivyo ada wangeshamfuata mzee wetu kwenda kutaka maoni yake.

Kwa ukimya huu usio wa kawaida, je, yupo wapi Makamba?!

NB: Usifurahie kifo cha binadamu mwenzako.
Yule mzee Nakamba a.k.a Ze Komedi w kisiasa kwa nyakati hizi hakuna mtu anayetaka kuwa karibu naye kisiasa.
Bomu alilotoa kuwa wazuri hawafi ni tosha kumipaga pini.
 
Siyo kawaida yake kuwa kimya namna hiyo hasa kwenye nyakati za SINTOFAHAMU kubwa nchini kama wakati huu wa suala la BANDARI.

Lakini, mzee Makamba ni kiongozi mstaafu ni wajibu wa Wananchi kufahamu alipo na anaendeleaje.

Wengi wetu tulitarajia waandishi wa habari kama ilivyo ada wangeshamfuata mzee wetu kwenda kutaka maoni yake.

Kwa ukimya huu usio wa kawaida, je, yupo wapi Makamba?!

NB: Usifurahie kifo cha binadamu mwenzako.
Huyo ni shetani afadhali aendelee kupumzika. Asije akatoa tena sauti ya kishetani kuwa WAZURI HAWAFI.
 
Siyo kawaida yake kuwa kimya namna hiyo hasa kwenye nyakati za SINTOFAHAMU kubwa nchini kama wakati huu wa suala la BANDARI.

Lakini, mzee Makamba ni kiongozi mstaafu ni wajibu wa Wananchi kufahamu alipo na anaendeleaje.

Wengi wetu tulitarajia waandishi wa habari kama ilivyo ada wangeshamfuata mzee wetu kwenda kutaka maoni yake.

Kwa ukimya huu usio wa kawaida, je, yupo wapi Makamba?!

NB: Usifurahie kifo cha binadamu mwenzako.
Tangu lle kauli yaje ya dhihaka kwa JPM hajasikika tena
 
Back
Top Bottom