screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,813
- 15,737
Sio kweli ulisemalo, mtu asiye na kipaji hawezi kufanya nyimbo kama 'Habari njema' na 'Ni Siku' hata kwa miujizamie nahakika kilichombeba ni urembo wake ! hana kipaji cha kuimba wala kutunga ! mtu mwenye kipaji cha kuimba ni nkone na rose(sauti zao ukizisikia unajua hawa wana vipaji) !sijui nisemeje nielewek !abda niseme alikua anaimba flat saaaaaaaaanaaaa! thts y alianguka mara moja na nilijua tu ataanguka !
chukua cd za waimba acappela wa nyimbo za injili angalia wanavyoziimba utajua hawa wana kipaji na ufananishe na huyu beatrice ! mayb angeenda kujifua kwanzaz zaidi !
Sent using Jamii Forums mobile app