Yupo wapi Mtulia wa Kinondoni?

Viongozi wangu wa CCM naombeni toeni kauli juu ya haya yanayo zungumzwa juu ya Mbuge wangu Mtulia au Mbuge wangu jitokeze hadharani tukuone tu ili watesi wako waaibike!.
 

Kweli Abdul Mteketa alihusishwa na Jimbo la MORO enzi hizo Susanne Kiwanga na Regia Mtema walikuwa wanakimbiza sana wakiwa viti maalum Sasa Huyu Abdul ikadaiwa akamtenda hata hivyo haikusaidia Sana uchaguzi uliofuata aliangushwa na mwingine

Baba yake anaitwa Privatus Mtema ni mtu wa kusali Sana ,ni kiongozi wa Charismatic Katoliki
 
Acheni uzushi huo......

hivi mtajisikiaje siku mkimuona anaapishwa? mtakuja mfute huu uzi? ni vyema mkajikita kwenye hoja lakini sio gossips

AnaweZa kuapishwa akipona kama kweli anaumwa Mungu sio athumani
Watu wanahoji kwakua ni wiki Sasa wabunge wako Dodoma
 
Mbona kama haya mambo ya albadir yapo, mbona kwa tundu lisu hayakufanywa? Ili kuisaidia serikali ktk hao watu wasiojulikana
 
Sorry,
Huyu jamaa ndio yule wanaesema yuko Kijijini kwao huko Undengerekoni anaongea mwenyewe tu, muda wote anataja taja ovyo viungo vya uzazi?
Au nimemfananisha?
Hebu sema yuko kijiji gani huko Undengerekoni watu wamfuate kimya kimya.
 
Kama una HAMU naye nenda nyumbani kwake utamkuta,huku JF tuletee mada za maendeleo na ukosoaji wa kuchagiza maendeleo ,sio hoja za kitaarab taarab!
 
tulikuwa naye jana kinondoni, jamaa ni mzima wa afya, acheni kusambaza uongo , ehhhh
 
Acheni uzushi huo......

hivi mtajisikiaje siku mkimuona anaapishwa? mtakuja mfute huu uzi? ni vyema mkajikita kwenye hoja lakini sio gossips
Hapo atakuwa kashapona tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…