Yupo wapi Mtangazaji na Mwandishi Jacob Tesha?

Yupo wapi Mtangazaji na Mwandishi Jacob Tesha?

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,806
Reaction score
7,690
Habari zenu familia ya JF.

Mtakumbuka miaka ya nyuma haswa miaka ya tisini na elfu mbili alikuwepo mtangazaji na mwandishi Jacob Tesha.

Aliwahi kutangaza Radio Tanzania yaani RTD na baadae kuwa mwandishi wa waziri mkuu Sumaye. Sijamsikia siku nyingi na sijui chanzo cha ukmya wake.

Mwenye kujua yupo wapi atujuze.
 
Na yule wa radio one anaependa suruali za kufungia mabegani yupo wapi? Jina limenitoka kidogo, niliyapenda sana mahojiano yake radio one
 
last time alikuwa mwandishi wa habari wa waziri mkuu sumaye. atakuwa keshastaafu
 
Umenikumbusha mbali sana hizi sauti zilikuwa ni za dhahabu hebu ngoja tuanze na listi nayoikumbuka ilikuwa lazima ikifika vipindi vyao nitege sikio
Abou liongo-michezo
Ahmed Jongo-mpira
Ahmed kipoza-mpira
Charlz hillary-mpira
Dominic chilambo-mpira
Salum mbonde-mpira
Sulemani hega -michezo
Aloyce maneno-ombi lako
Bakari msulwa-salamu
Bakari kikoloma-enzi za vita vya nduli
Betty mkwasa-mahospitalini
Bujago Izengo wa Kadago
Chriss katembo
Christina chikunogera-ugua pole
Eda sanga
Harid ponela
Jacob tesha-habari
Nyaisanga
Malima nderema
Mohamed ngayoma
Mayoka-mpira
Pascal mayalla-mwana jamvi atajitokeza kuweka uhondo zaidi
Sued mwinyi-mpira
Tumbo risasi -kigoma
 
Umenikumbusha mbali sana hizi sauti zilikuwa ni za dhahabu hebu ngoja tuanze na listi nayoikumbuka ilikuwa lazima ikifika vipindi vyao nitege sikio
Abou liongo-michezo
Ahmed Jongo-mpira
Ahmed kipoza-mpira
Charlz hillary-mpira
Dominic chilambo-mpira
Salum mbonde-mpira
Sulemani hega -michezo
Aloyce maneno-ombi lako
Bakari msulwa-salamu
Bakari kikoloma-enzi za vita vya nduli
Betty mkwasa-mahospitalini
Bujago Izengo wa Kadago
Chriss katembo
Christina chikunogera-ugua pole
Eda sanga
Harid ponela
Jacob tesha-habari
Nyaisanga
Malima nderema
Mohamed ngayoma
Mayoka-mpira
Pascal mayalla-mwana jamvi atajitokeza kuweka uhondo zaidi
Sued mwinyi-mpira
Tumbo risasi -kigoma
Pasco Mayalla ndio huyu huyu wa JF ama ni mwingine......

kama ni huyu wa humu basi ni kijeba
 
Hakuna aliyetoa jibu kwa mtoa mada kuhusu alipo Jacob Tesha.Naona wote wanaongeza majina ya watangazaji wengine tu.

Je Jacob Tesha yuko wapi?
 
Jibu sahihi kutoka kwa mtu sahihi hili hapa:

Mzee Jacob Tesha alishastaafu kazi ya Uandishi na Utangazaji na hivi sasa ametulia kwake hapa Ubungo Msewe.
Kama mnapajua Msewe Chinatown Pub (achana na Connection, kwa chini yake sasa).
Hiyo Chinatown Pub ni sehemu ya Eneo la nyumba yake pale...
Mimi naongea kama ex-Mpangaji wake (maaana ana nyumba kwa chini pale (Nyuma ya hiyo Pub) anapangisha wanafunzi wa UDSM.
Nimehama pale Mwaka jana, na juzi nimepita nimemkuta anajipoza na Bia bariiidi...

Sema mzee Mswahili sana.. Maji anatulipisha 10,000 kwa mwezi halafu anafungulia mara mbili tu kwa week... Ndio sababu ya mie kuhama pale kwake..

Hivo Basi... Mzee Tesha yupo kwake Ubungo Msewe Chinatown Pub.
 
Jibu sahihi kutoka kwa mtu sahihi hili hapa:

Mzee Jacob Tesha alishastaafu kazi ya Uandishi na Utangazaji na hivi sasa ametulia kwake hapa Ubungo Msewe.
Kama mnapajua Msewe Chinatown Pub (achana na Connection, kwa chini yake sasa).
Hiyo Chinatown Pub ni sehemu ya Eneo la nyumba yake pale...
Mimi naongea kama ex-Mpangaji wake (maaana ana nyumba kwa chini pale (Nyuma ya hiyo Pub) anapangisha wanafunzi wa UDSM.
Nimehama pale Mwaka jana, na juzi nimepita nimemkuta anajipoza na Bia bariiidi...

Sema mzee Mswahili sana.. Maji anatulipisha 10,000 kwa mwezi halafu anafungulia mara mbili tu kwa week... Ndio sababu ya mie kuhama pale kwake..

Hivo Basi... Mzee Tesha yupo kwake Ubungo Msewe Chinatown Pub.
aiseee

kama haya ni majibu sahihi basi nami nilipanga kwake 2014 nikiwa ud.
 
Back
Top Bottom