Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,806
- 7,690
Habari zenu familia ya JF.
Mtakumbuka miaka ya nyuma haswa miaka ya tisini na elfu mbili alikuwepo mtangazaji na mwandishi Jacob Tesha.
Aliwahi kutangaza Radio Tanzania yaani RTD na baadae kuwa mwandishi wa waziri mkuu Sumaye. Sijamsikia siku nyingi na sijui chanzo cha ukmya wake.
Mwenye kujua yupo wapi atujuze.
Mtakumbuka miaka ya nyuma haswa miaka ya tisini na elfu mbili alikuwepo mtangazaji na mwandishi Jacob Tesha.
Aliwahi kutangaza Radio Tanzania yaani RTD na baadae kuwa mwandishi wa waziri mkuu Sumaye. Sijamsikia siku nyingi na sijui chanzo cha ukmya wake.
Mwenye kujua yupo wapi atujuze.