Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Historia inaonyesha kuwa ukishndana na prof. Maghembe, akikushnda unapotea.
Alishindana na Maghembe 2000 kugombea ubunge wilaya ya Mwanga.
Eeh kwani Prof Maghembe ana nini?
Ameshapoteza watu wangapi?