Yupo wapi Jasusi Apson Mwang'onda

Mhh unaamini waandishi wetu wa habari. Marehemu Apson alifariki akiwa matibabu Afrika ya Kusini, na mwili wake uliporudi haukuja mbezi beach.

Kipindi hicho nyumba yake ilikuwa imeshabomolewa na ujenzi mpya unaendelea. Nyumba yake ya sasa anayoishi Mama mjane ni mpya sio ile aliyokuwa akiishi siku za nyuma.
 
Wewe kiboko aisee, kwataarifa zisiso sahihi , haya labda nikuulize ulikuwepo kwenye msiba na kama ulikuwepo ulifanyikia wapi na mtaa gani na je mazishi yalikuwa wapi? ,kwangu nacho jua nilikuwepo kwenye msiba , ulifayika Mbezi Beach , sasa sijui wewe ulienda au ulisikia msiba upi wa marehemu ambao haukufanyika Mbezi Beach .
Wewe kama uli soma Shaban Robert na kumaliza mwaka 1991 , ngoja nikutajie watu ulio soma nao hapo Shaban Robert na ni kueleze kwanini Huyo Mkuu wa Wlaya hakusoma hapo ila alisoma Forodhani Sec Schoo nakumaliza mwaka 1989 .hawa ni walio maliza mwaka 1991 utawakumbuka vizuri .
Walio maliza mwaka 1991
Grace Mtui ,
Mona Lupembe,
Edith Kusaga ,
Jamillah ,
Amina Msomali
Rummy Minja
Walio Maliza mwaka 1990
Said Janguo .
Robert Byabato
Walio maliza 1989
Fanuel Ligate
Franco Mtui
Kama nilivyo kuambia Mkuu wa wilaya alimaliza mwaka 1989 Forodhani Sec school na walio maliza nao baadhi ni
Evans Mrutu
Denis Ishengoma
Wako wengine wengi katikashule nilizo taja , ila sikumbuki kwa dakika hii ila ninawafahamu na nilitaka tuu nikuonyesha kwamba na fahamu ninacho kisema sababu hata miaka ya watu mlio soma wote naifanya na nawafahamu baadhi ya classmates wako , nilitaka tuu nikufahamishe kwamba taarifa ulizo nazo sio sahihi kabisa .
 
Au mnaongelea watu wawili tofauti wenye majina ya kufanana?
 

Na wewe jina lako halisi ni lipi kwa maana wengine umewataja bila ya idhini yao!
 
Na wewe jina lako halisi ni lipi kwa maana wengine umewataja bila ya idhini yao!
Sorry kama ni wewe mmoja wapo nime kutaja, ila hao nilio wataja sidhani kama wana jali sana privacy kwa namna ya hali ya juu.
 
Au mnaongelea watu wawili tofauti wenye majina ya kufanana?
Kwa maelezo yake ni anaongelea huyo huyo tunae muongelea , ila nadhani kidogo yuko delusional , ana imagine vitu ambavyo havipo, sababu kama ni msiba ni public na watu wengi walikuwepo ni ajabu sana kwa mtu anaye sema ni jirani halafu aseme msiba haukua jirani na kwao , wakati msiba umekaa hapo kwa siku 5 hapo Mbezi Beach , kuazia Jumatatu mpaka Ijumaa ndio wakasafirisha , sasa inawezekanaje , siku 5 zote jirani ya Marehemu asijue jirani yao kuna msiba na huyo jirani gani ambaye hakwenda kwenye msiba wa jirani yake ambaye tena ni wale majirani wa Kongwe eneo hilo? bado na shangaa .
 
Hivi huyu Tom ndiye alikuwa mmewe yule Mbunge wa viti maalum Neema Rugangila?

Hapana Mbunge Neema mumewe anaitwa James alias Jimmy

Ndg Phillip kwa maelezo inaonekana ni jirani sana na marehemu Mzee Cornel lakini kuna taarifa unazichanganya aidha kwa makusudi au kutokujua.

Msiba ulikuwepo Mbezibeach na ilikuwa ukipita unawaona wale makirikiri wamevaa combat na wale wazee wa suti wanasaidia kuelekeza pa kupark magari. Ule ndio mji wa mzee ni lazima msiba ufanyike pale.

Kuna mahali unaelezea Jimmy alikuwa anakuja kununua maziwa kwenu zile nyumba zilizokuwa za Air Tanzania kama unaelekea kwa Barongo mbezini 306 pub halafu unasema nyumba yenu ilikuwa opposite na msikiti nyumba ambayo inatazamana na iliwahi kuwapo baa ya Lukas mtoto wa mama daudi wa masaki kwa kipindi kifupi na kiwanja kile ni cha Lukas mpaka sasa.

All in all REST IN PEACE SPYMASTER APSON.
 
Labda huyu ni Daudi mwenyewe , halafu anapo sema hilo suala la kununua maziwa sio kweli ,hata hapo nyumbani kwa Marehemu kulikua na ngo'mbe kwa nyuma tena wa maziwa, pili , watu wa idara , maziwa walikuwa wana toa PSU enzi hizo kulifugwa ng'ombe, maelezo yake mengi hayako sahihi.
 
Wewe una pata faida gani kwa kusema uongo
 


Huyo jamaa Philipo muongo sana anafanya tuamini baadhi ya watu uwa wanatunga story
 
Nani kakudanganya nyumba ya Mbezi ilijengwa wakati wa msiba ? Nyumba ya Mbezi ilijengwa Zamani sana wakati amestaafu na sio kujengwa ilifanywa renovation ilivyokamalika akatoka nyumba ya Oysterbay karibu kabisa na rafiki yake mkubwa Rostam Aziz akaamia mbezi
 


Waaandishi wa Habari wanausika vipi na nilienda msibani siku zote pale mbezi daraja la Apson kwenye nyumba yake ya maisha yote kabla ya mwili haujafika Tanzania adi umefika Tanzania Kutoka Southa Africa kwa taarifa yako Mpaka viwawa Mbeya nilienda kumzika Mzee wetu

Muacheni Mzee wetu kipenzi mtu wa watu hasiekua na majivuno apumzike kwa Amani
 
Hivi huyu Tom ndiye alikuwa mmewe yule Mbunge wa viti maalum Neema Rugangila?

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
Ni Jimmy, Neema alikimbia nyumba kwa sababu ya kudanga uzeeni kapoteza mume wa Maana na baba bora wa watoto wake mwenye adabu zote hasie na makuu wala majigambo kama Mzee Apson

Amebaki kuliwa na madereva na viserengeti boys bungeni
 
Huyo jamaa Philipo muongo sana anafanya tuamini baadhi ya watu uwa wanatunga story
Hii ni kama zile habari unapewa na unaambiwa ni toka kwa mtu wa karibu, kama wakaribu wenyewe ndio hawa basi kazi ipo, sababu anaongea kwa kujiamini abisa wakati hakuna usahihi wowote kwa anacho kiongea , ingekua ni suala la kashfa sijui ingekua ime mchafua mtu kwa kiasi gani sababu wengi wange amini sababu mtoa habari kajiaminisha kwa watu kwamba ni mtu wa karibu .
 
Sio kweli mkuu.
 
Huyo jamaa Philipo muongo sana anafanya tuamini baadhi ya watu uwa wanatunga story
Apson ni jirani yangu hapa mbezi beach kwa taarifa yako. Kiwanja changu ni hiki ambacho mpaka mwaka jana palikuwa na car wash wanaosha magari.

Nimemuondoa yule mpangaji sasa natafuta mpangaji mwingine. Mbezi Beach mzee alikuja mwaka 1978 alinunua eneo hili kutoka kwa mkulima fulani.
 
Kama vipi mkuu uuze nikuletee mteja anafungua baa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…