TANZIA Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Apson Mwang’onda afariki Dunia nchini Afrika Kusini

Inside10

JF-Expert Member
May 20, 2011
26,059
23,934
Mkurugenzi Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), Apson Mwang’onda (75), amefariki dunia leo Oktoba 7, nchini Afrika Kusini alikokuwa anatibiwa, familia yake imethibitisha.

Mwang'onda.PNG

Rais Magufuli akimjulia hali Apson Mwang'onda hospitalini enzi za uhai wake
 
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Apson Mwang’onda amefariki dunia leo Oktoba 7, 2019 nchini Afrika Kusini alikokuwa akipatiwa matibabu


Kwa miaka kadhaa Idar ya Usalama wa Taifa iliongozwa na vigogo kadhaa waliobobea katika masuala la Ulinzi na Usalama wakiwamo; Emir Mzena, Lawrance Gama, Hans Kitine ambapo alipoondoka nafasi hiyo ilikamatwa na Dk. Augustine Mahiga.

Mbali na hao nafasi hiyo ilishikiliwa pia na Amrani Kombe, Apson Mwang’onda, Rashid Othman, Dkt Kipilimba na Bwana Diwani Athumani
 
Back
Top Bottom