Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,059
- 23,934
Mkurugenzi Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), Apson Mwang’onda (75), amefariki dunia leo Oktoba 7, nchini Afrika Kusini alikokuwa anatibiwa, familia yake imethibitisha.
Rais Magufuli akimjulia hali Apson Mwang'onda hospitalini enzi za uhai wake
Rais Magufuli akimjulia hali Apson Mwang'onda hospitalini enzi za uhai wake