kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,363
- 4,851
Wakuu habari?
Nikiwa nakua miaka ya mwanzo ya 2000, nilikua nasikiliza sana music ya kikongo iliyokua inapendwa sana na uncle zangu. Na moja ya msanii niliyekua namkubali sana alikua bibie Tshala Muana...
Yupo wapi huyu? Kuna mtu anaweza kutufungua kidogo?
Nikiwa nakua miaka ya mwanzo ya 2000, nilikua nasikiliza sana music ya kikongo iliyokua inapendwa sana na uncle zangu. Na moja ya msanii niliyekua namkubali sana alikua bibie Tshala Muana...
Yupo wapi huyu? Kuna mtu anaweza kutufungua kidogo?