Yupo wapi Abdulhalim Hafidhi Ameir?

Yupo wapi Abdulhalim Hafidhi Ameir?

Ila Mungu huyu
Yaani mtu anapata utajiri na anaishi Kwa anasa Kwa kuuwa binadamu.
Naomba Mungu damu za Watanganyika wenzetu zisiende bure
 
Huu uongo uongo wa kuzushwa na kuvumushwa umeenea siku hizi kwa sababu miji mikubwa imejaa hawa walugaluga waliotoka maporini na kujifunza kutumia mitandao.

Hawaamini wanapoona wahindi, waarabu na wasomali na wazenji wanamiliki biashara kubwa na majengo katikati ya miji, na kuanza kujenga chuki na kudanganyana vijiweni kutwa nzima kuwa hao ni wezi na mafisadi na wala hawajishughulishi, wanashinda hapo siku nzima kulopolopo ujinga.
 
Huu uongo uongo wa kuzushwa na kuvumushwa umeenea siku hizi kwa sababu miji mikubwa imejaa hawa walugaluga waliotoka maporini na kujifunza kutumia mitandao.

Hawaamini wanapoona wahindi, waarabu na wasomali na wazenji wanamiliki biashara kubwa na majengo katikati ya miji, na kuanza kujenga chuki na kudanganyana vijiweni kutwa nzima kuwa hao ni wezi na mafisadi na wala hawajishughulishi, wanashinda hapo siku nzima kulopolopo ujinga.
Una miezi miwili tu jamvini. Wenzio tupo tangu enzi za Kikwete
 
Una miezi miwili tu jamvini. Wenzio tupo tangu enzi za Kikwete
Yaani ni rahisi sana kuwapata walugaluga
Sasa kama upo tokea enzi ya kikwete ndio maana yake uliiingia zamani, na sio tena mporopori
 
Wapo watu wakishakusoma wanakuchukulia kana kwamba unamaanisha hiki ulichoandika, hawana zile hisia kwamba hapa jukwaani sio kila kinachoandikwa kinapaswa kuwekwa moyoni kabisa.

Abdul hana chochote cha maana anachoweza kukifanya Tanzania, habari yako sawa na ule uzushi kwamba Mama Sitti Mwinyi ndiye aliyemiliki lile ghorofa linalotazamana na Mahakama ya Kisutu,.

Story zinavumishwa zinashika kasi matokeo yake vijana wa Gen Z wanakwenda kutia moto mali ya mtu fulani wakiamini uzushi wa JF.
mwaka huu hizo mali zenu mzifiche kabisa maana GenZ hawacheki na mafisadi
 
mwaka huu hizo mali zenu mzifiche kabisa maana GenZ hawacheki na mafisadi
Ukiongea hivi utakuwa unawaponza hao watoto wa watu. Watapoteza maisha huku wakiondoka duniani kama walivyokuja.

Mama na Baba zao wakija kuomba misa ya wafu katika kanisa katoliki Paroko hawezi kuwanyima.
Wanalipia tshs 2,000 na ombi lao linasomwa kwenye misa.

Yule dada mtu mzima wa kule Ulaya anayeweka picha zake za zamani ili awadanganyie hao Gen Z hachoki kuwajaza ujinga kule instagram, yeye yupo huko Scandinavia hawa watoto anaowachuza wapo hapa TZ.

Juzi baada ya kuona maandamano yamemdodea kaanza kurusha video za zamani!, anaendelea kuzeeka vibaya sana yule dada.
 
Story za vijiweni hizo. Aingize shehena ya silaha kwa mamlaka gani aliyonayo?.

Mnatunga hadithi mpaka mnaishia kuonekana vichaa. Acheni ujinga huo, aina hii ya uzushi inasambaa kiasi cha watu watakaosikia kuanza kudhani kwamba kuna ukweli wowote.

Muogopeni Mungu nyinyi, mnatunga sana habari za uongo.

Wabongo acheni kutengeneza hizi conspiracy theories.
Nadhani kwako wewe hata ukiambiwa kuna raia wasio na hatia waliuliwa O29 utasema ni uzushi. Ila ukiambiwa sa100 alipata ushindi wa 98% unaamini ni kweli. Hivi ktk population ya 60m, utoe wale under 18yrs, utoe wale ambao normally hawapigi kura, utoe vikongwe, then unapata wapi watu 32m waliompa kura! Nani hakushuhudia voter turn out ilivokuwa low?
 
Ukiongea hivi utakuwa unawaponza hao watoto wa watu. Watapoteza maisha huku wakiondoka duniani kama walivyokuja.

Mama na Baba zao wakija kuomba misa ya wafu katika kanisa katoliki Paroko hawezi kuwanyima.
Wanalipia tshs 2,000 na ombi lao linasomwa kwenye misa.

Yule dada mtu mzima wa kule Ulaya anayeweka picha zake za zamani ili awadanganyie hao Gen Z hachoki kuwajaza ujinga kule instagram, yeye yupo huko Scandinavia hawa watoto anaowachuza wapo hapa TZ.

Juzi baada ya kuona maandamano yamemdodea kaanza kurusha video za zamani!, anaendelea kuzeeka vibaya sana yule dada.
Ukiwa na nchi ambayo tume ya uchaguzi ni kikundi cha kuiba kura kumsaidia mshindani wako maandamano hayakwepeki. Hizo bunduki zingekuwa ndo kiboko ya waandamaji dunia hii tusingekuwa tunasikia vurugu za watu kudai haki. Bila kuthamini kura ya mwananchi hivi vitu vitatokea tu katika kipindi fulani. Angalia huko Iran watu walikuwa wanaogopa hata kuwaza tu vibaya kuhusu serikali yao leo hii wameingia barabarani baada ya unyanyasaji kwa miaka mingi.
 
Ukiongea hivi utakuwa unawaponza hao watoto wa watu. Watapoteza maisha huku wakiondoka duniani kama walivyokuja.

Mama na Baba zao wakija kuomba misa ya wafu katika kanisa katoliki Paroko hawezi kuwanyima.
Wanalipia tshs 2,000 na ombi lao linasomwa kwenye misa.

Yule dada mtu mzima wa kule Ulaya anayeweka picha zake za zamani ili awadanganyie hao Gen Z hachoki kuwajaza ujinga kule instagram, yeye yupo huko Scandinavia hawa watoto anaowachuza wapo hapa TZ.

Juzi baada ya kuona maandamano yamemdodea kaanza kurusha video za zamani!, anaendelea kuzeeka vibaya sana yule dada.
yaani sentesi moja imekuchanganya umejibu gazeti? unalipwa sh ngapi na maFISIEMU uyatetee humu? au ni buku 7 ndio bei yako!
 
ChaDema wana mbinu za kijinga sana kusingizia na ku -atack familia za Marais. Walianza na Ridhiwan Kikwete kumiliki kila jengo kila wilaya na kila mkoa na kila kituo cha mafuta, sasa hivi wameamia kwa Abdul!

Wakawapata vijana wasio na uzoefu na propaganda zao za udanganyifu, wakawaingiza kwenye uongo na mihemuko wakaingia mitaani wakakutana na dola!

Too bad vijana wengi wa kichaga na kaskazini waliathirika na propaganda na ujinga wa wazazi wao! Wakawa frontline wakiamini kinachosemwa.

Sasa hivi wanashindwa kukubali ukweli kuwa wao ndio waliosababisha wanabaki kulaumu vyombo vya usalama
 
Una amka asubuhi ghafla unatumiwa sms na tume eti toa ushahidi wa matukio yaliyotokea oct inatia uchungu sana!!!
Dunia yenye Science na Technology inalazmish kupew ushahid
 
ChaDema wana mbinu za kijinga sana kusingizia na ku -atack familia za Marais. Walianza na Ridhiwan Kikwete kumiliki kila jengo kila wilaya na kila mkoa na kila kituo cha mafuta, sasa hivi wameamia kwa Abdul!

Wakawapata vijana wasio na uzoefu na propaganda zao za udanganyifu, wakawaingiza kwenye uongo na mihemuko wakaingia mitaani wakakutana na dola!

Too bad vijana wengi wa kichaga na kaskazini waliathirika na propaganda na ujinga wa wazazi wao! Wakawa frontline wakiamini kinachosemwa.

Sasa hivi wanashindwa kukubali ukweli kuwa wao ndio waliosababisha wanabaki kulaumu vyombo vya usalama
lakini sijawahi kusikia familia ya Nyerere, Mwinyi au Magufuli ikiattackiwa
 
Back
Top Bottom