Yupo mwana JF bado anacheza BIKO?

Yupo mwana JF bado anacheza BIKO?

Biko nilishapata laki tano, tatumzuka nilipata milioni mbili. Ila huwezi kula kama haupo tayari kuliwa.
 
Mimi nilisha cheza na nilisha shinda kabisa
 
Na wabunge wanacheza, spika kawapiga biti leo!
 
Mtu anaambiwa "Umeshinda milioni 10" Yeye anajibu "Asante zitanisogezasogeza" Shwain kabisa!
 
Kuna jamaangu anacheza biko, anapataga buku 20 au buku 50, anajuhudi za kucheza
 
Yaani kama kuna mtu bado hajaelewa huu mchezo wa biko basi kuna haja ya kumpima mkojo.

>Yule wa milioni 260 yuko wapi?
>Yule wa milioni 100 yuko wapi?

>Kuna mdada wa mtaani naona katangazwa mshindi wa milioni kumi ni wiki sasa ila sijaona hata muonekano wa milion moja.

Sina shida na biashara ya BIKO ila wawe wawazi sio kuwa kama serikal flani hivi inasema imejenga hosteli kwa bilion 10 kumbe ni bilioni 54.
Mimi naiangaliaga Biko sababu ya ile turbo ya kisukuma na miguu ya tembo mtoto,mambo ya pesa mnayajua wenyewe
 
Mara ya mwisho kucheza ujinga ujinga kama huo ni kwenye jackpot bingo
miaka mingi nyuma
Ile ilikuwa ni ya uwazi, sababu vipira vinachezeshwa na kuokotwa live mbele ya wahudhuriaji studio, wewe unahakiki tu ticket yako
 
Biko nilishapata laki tano, tatumzuka nilipata milioni mbili. Ila huwezi kula kama haupo tayari kuliwa.
Watu kama nyinyi ndio biko inawatumia kuwaingiza kingi wenzenu, wanawaonjesha ushindi ili mkatoe ushuhuda na kivutia wengi zaidi..
 
Back
Top Bottom