Sawa MpokiBiko nilishapata laki tano, tatumzuka nilipata milioni mbili. Ila huwezi kula kama haupo tayari kuliwa.
Ulitumia mtaji kias ganBiko nilishapata laki tano, tatumzuka nilipata milioni mbili. Ila huwezi kula kama haupo tayari kuliwa.
Sawa mpoki..msalimie kajala massanjaAcha wivu, kama huna bahati tulia.
Mimi naiangaliaga Biko sababu ya ile turbo ya kisukuma na miguu ya tembo mtoto,mambo ya pesa mnayajua wenyeweYaani kama kuna mtu bado hajaelewa huu mchezo wa biko basi kuna haja ya kumpima mkojo.
>Yule wa milioni 260 yuko wapi?
>Yule wa milioni 100 yuko wapi?
>Kuna mdada wa mtaani naona katangazwa mshindi wa milioni kumi ni wiki sasa ila sijaona hata muonekano wa milion moja.
Sina shida na biashara ya BIKO ila wawe wawazi sio kuwa kama serikal flani hivi inasema imejenga hosteli kwa bilion 10 kumbe ni bilioni 54.
Ile ilikuwa ni ya uwazi, sababu vipira vinachezeshwa na kuokotwa live mbele ya wahudhuriaji studio, wewe unahakiki tu ticket yakoMara ya mwisho kucheza ujinga ujinga kama huo ni kwenye jackpot bingo
miaka mingi nyuma
Watu kama nyinyi ndio biko inawatumia kuwaingiza kingi wenzenu, wanawaonjesha ushindi ili mkatoe ushuhuda na kivutia wengi zaidi..Biko nilishapata laki tano, tatumzuka nilipata milioni mbili. Ila huwezi kula kama haupo tayari kuliwa.