Yupo mwana JF bado anacheza BIKO?

Yupo mwana JF bado anacheza BIKO?

At the beginning: Malipo yamekamilika umelipa Tsh30000 kwenda BIKO.Kumb no.505050

At the end: BIKO! BIKO! BIKO! umejishindia Tsh 5000 kutoka BIKO salio lako jipya ni Tsh 4200..una nafasi 30 kwenye jackpot ya Jumatamu

My take:wezi wa sasa hawakabi wala kutumia nguvu...Bali hutumia saikolojia kuwapumbaza mazuzu...iweje utoe 30000 halafu upewe 5000??? Ndugu zangu Watanzania tujitathmini...Mnaliwa sana!
Clouds FM ndo promoters wao na hakuna anayewahoji? Au wana ubia?
 
Clouds FM ndo promoters wao na hakuna anayewahoji? Au wana ubia?

hawa wa2 wana2mia hela nyingi kwenye matangazo ila hizo za kuskia m2 kashida ni magumash 2
 
Back
Top Bottom