platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,364
- 11,150
hebu thibitisha kauli yako!
Name calling is against JF Rules
hebu thibitisha kauli yako!
unacheka nini? Yule mcharuko nshakutafutia. charminglady atanunaje? Shosti mwenzio kazidiwa hiyo bed rest imezua jambo
Name calling is against JF Rules
ni Prime Minister basi
Usiyeyushe.......ehee nimekumbuka hivi Mw. Rugumba yupo? na Onyango?
Atakayesema ananijua humu atanitambua........LOL
Madame B usiku saizi... pumzika
hahahaa, mbona hata we hujapumzika au kwako ni mchana?
data,
Kwanza sipo nyumbani,
Pili,hakuna wa kunibana na kama suala ni waume zangu,
Mmoja kasafiri,mwingine anaumwa nimemwacha kalala nyumbani.
Shida iko wapi dadii?
mi sijapata kukutana na hata mmoja japo ningependa kuonana nanyi
mimi sijajua hata moja ila naamini ipo siku nitakutana na hata 1 natamani sana kukutana na mention madame b
me simjui hata 1, wewe je?