Yupi Mungu wa kweli Allah and Yaweh

Yupi Mungu wa kweli Allah and Yaweh

Hii vita iliyoanzishwa juzi 7/10.23 wengi wetu tunatazama vyombo vya habari vya poropaganda bila kuhangamsha akili zetu.

Very simple, wala haihitaji rocket science kuuelewa ukweli.

Niliandika hivi:


Na hivi:


Wengi wanaofata propaganda, za pande zote mbili, ni vigumu kunielewa. Inatakiwa uwe "free thinker" kikweli kweli kunielewa.
Kama uliandika hivyo bhasi uliona mbali nimeangalia jinsi inavyoelekea Hii sio vita Ya kijiographia kama tunavyoaminishwa maana naona imehama kabisa ..sasa ina mlengo mwingine kabisa
 
Hiyo ni misemo tu hata katoto ka chekechea kanaweza kutunga Misemo kama yako.
1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. 1
2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. 2
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa 3
4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. 4
 
Hiyo ni misemo tu hata katoto ka chekechea kanaweza kutunga Misemo kama yako.
Unalosema ni kweli kabisa, je umeona kuna kibaya kwenye hiyo unayosema "misemo" yangu? Inakupotosha"? Au inakufundisha jambo baya lolote?
 
Unalosema ni kweli kabisa, je umeona kuna kibaya kwenye hiyo unayosema "misemo" yangu? Inakupotosha"? Au inakufundisha jambo baya lolote?

Swali langu Mimi hayo ni maneno ya Nani je ni ya Mungu au ya Nani
 
Yahweh, Jehova, Elohim.....
Mungu aliyejifunua Kwa nyakati tofauti ki-agano,ndie Mungu wa kweli na wapeke!
Aliyeziumba Mbingu na Dunia,na vyote vilivyomo!

Subiri mpk mwisho uone nani atasaidika na Mungu wake!
sasa kwanini aruhusu miungu mingine iwepo?

Mimi naona anafanya makusudi ili apate watu wa kuchoma milele....
 
Sijakuelewa, ongea taratibu, tumia Kiswahili, bila hamaki. "filigisi" ndiyo nini?
Unamjua ngombe dume? Kuna kitu huwa kinaning'inia kutoka kwake katikati ya miguu ya nyuma kipo kama soksi iliyowekwa jiwe n
 
Yahweh ndio Mungu WA kweli maana alikuwepo Tangu hapo mwanzo, Allah Hana background yoyote aliibuka from no where miaka 1400 iliyopita.
Halafu Mohamed tunajua ni kizazi cha Ibrahim kupitia ishamael iweje atuletee Mungu mgeni ambaye hata mababu zake hawakumwabudu, iko wazi kuwa Ibrahim alimwamudu Yahweh.
 
Naam, ya Mwenyezi Mungu kupitia Qur'an.

Quran 72 surat Al jinn

1 Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu!


2. Inaongoza kwenye uwongofu, kwa hivyo tumeiamini, wala hatutamshirikisha yeyote na Mola wetu Mlezi.


3. Na kwa hakika utukufu wa Mola wetu Mlezi umetukuka kabisa; hana mke wala mwana.

Je hayo maneno yametoka kwenye midomo ya Majini je kwenu majini ndo Mungu au
 
MKuu fuatili media za kimataifa utajifunza mengi walizima internet ili habari wawe wanatoa wao tu ili kudanganya ulimwengu ila mungu kawezesha internet palestina wamepata na habari tunazipata
Hivi hapo MUM mnasoma kweli?au hizi propaganda ndo homework zenu?
 
WANGEFUATAJE DINI AMBAYO HAIKUWEPO WAKATI HUOO, MAANA DINI YENU IMEJEGWA KWENYE MSINGI WA SHARIA. HALAFU MOHAMED ANADAI YEYE NDIO MUISLAM WA KWANZA AU NI UONGO
Haya mnadanganyana huko kanisani hakuna sehemu yoyote Quran inasema kuwa Mtume Muhammad ndio Muislam wa kwanza Duniani

Kuhusu uislam na manabii wa kabla ya Muhammad Qurani inasema hivi

Quran 2:132 -
Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii; basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu, wanyenyekevu.

Qurani 2:133 -
Je! Mlikuwapo yalipo mfikia Yaaqub mauti, akawaambia wanawe: Mtamuabudu nani baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is- hak, Mungu Mmoja tu, na sisi tunasilimu kwake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom