The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,151
- 20,077
Mungu ama kitu kinachoitwa Mungu hakipo achana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu.
Kipo, Amini yupo, amini yupo! na ananguvu balaa na anakusikia pia anakujua in and out, Amini, Amini, I can't explain more!, labda shida iwe kwenye kuchukua majina ya mataifa mingine, mfano wachaga wanamuita RUWA , kabla biblia hazijaja walimuamini RUWA, mpaka hata siku za wiki zilikuwa na majina yake, mfano, siku ya mungu WALIITA MFRO RUWA!., wakiamka asubuhi walikuwa wanageukia mlima wanatema mate chini na kusema AIKA RUWA!Mungu ama kitu kinachoitwa Mungu hakipo achana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu.
Mungu wa kwenye biblia ama Quran hayupo na hajawahi kuwepo. Ni fiction figure, hakuna kitu kama hicho.Kipo, Amini yupo, amini yupo! na ananguvu balaa na anakusikia pia anakujua in and out, Amini, Amini, I can't explain more!, labda shida iwe kwenye kuchukua majina ya mataifa mingine, mfano wachaga wanamuita RUWA , kabla biblia hazijaja walimuamini RUWA, mpaka hata siku za wiki zilikuwa na majina yake, mfano, siku ya mungu WALIITA MFRO RUWA!., wakiamka asubuhi walikuwa wanageukia mlima wanatema mate chini na kusema AIKA RUWA!
Sasa Mbona mna mungu wengi sana Kuna Yahweh,Yahovah ,Elohim, Elshadai n.k
Chagueni mmoja tujue yupi
Mkuu jama hujui kitu Huwa ni nafuu zaidi kunyamaza..Hayo yote ni majina yake makuu..Nikuongezee na lingine EHIEH
Jengo la wayahudi haliitwi hekalu linaitwa Synagogue Ambayo kiswahili ni Misikiti ya wayahudiToka kipindi cha musa wayahudi wana dini yao
Na jengo lao ni ekalu sio msikiti watu mnapenda cheo saana
Sina Tigo pesa tu ningekutumiaNadharia ya Mungu wa kweli inakua sahihi kichwani kwa mhusika ,kulingana na mapokea ya jamii yake , ila Nadharia hiyo hiyo sio sahihi kwa wengne kulingana na mapokeo yao pia.
Jina la Mungu ni moja tu. Utofauti ni 1)utamkaji 2)Watu kutofautisha majina ya sifa na jina halisi. Mfano mzuri Yahwe,YAH,YHV,Yehova, Jehovah,Yeoba na nyingine nyingi kulingana na inavyotamkwa kwa kila kabila ni jina moja la Mungu wa pekee ni sawa tu na jina la Yesu kila kabila linatamkwa tofauti. Ukija kwenye majina ya sifa, nakupa mtihani nenda kwenye quran soma yale majina 99 ya Mungu utagundua asilimia kubwa zimeanza na neno "Yah" then neno linalofuata linakua ni sifa. Yapo pia majina mengi tu ya sifa kama Mungu,Bwana,Elshedai,Alfa na Omega. Nimejaribu kukujibu kifupi tu mana wew unakujaga na hoja nzuri sana ila ttzo lako unatoa hoja huku umekariri majibu yako badala ya kutafakari ya wennzakoSasa Mbona mna mungu wengi sana Kuna Yahweh,Yahovah ,Elohim, Elshadai n.k
Chagueni mmoja tujue yupi
Mungu hayupo siku zote.Huu mjadala tutawajua wenye hoja na wabwatukaji,wenye ufahamu wa dini na wafuata mikimbo,wenye kuamini njia ya kweli na wenye kurithi dini za wazazi wao. OVER!
Asante sana mkuu , tafuta mtu yoyote mwenye uhitaji zaidi yangu, umpe kwa niaba yangu mkuu🙏🙏🙏Sina Tigo pesa tu ningekutumia
HakikaUngezaliwa India unauhakika usingekua mhindu?, ungezaliwa brazil unauhakika usingekua mkristo mkatoliki? Ungezaliwa indonesia unauhakika usingekua muislam? Vp ungezaliwa norway, ama china
Kila mtu aheshimu dini ya mwenzake (dhihaka zipungue)
Mkuu nimefurahi kwa majibu yako sana!Jina la Mungu ni moja tu. Utofauti ni 1)utamkaji 2)Watu kutofautisha majina ya sifa na jina halisi. Mfano mzuri Yahwe,YAH,YHV,Yehova, Jehovah,Yeoba na nyingine nyingi kulingana na inavyotamkwa kwa kila kabila ni jina moja la Mungu wa pekee ni sawa tu na jina la Yesu kila kabila linatamkwa tofauti. Ukija kwenye majina ya sifa, nakupa mtihani nenda kwenye quran soma yale majina 99 ya Mungu utagundua asilimia kubwa zimeanza na neno "Yah" then neno linalofuata linakua ni sifa. Yapo pia majina mengi tu ya sifa kama Mungu,Bwana,Elshedai,Alfa na Omega. Nimejaribu kukujibu kifupi tu mana wew unakujaga na hoja nzuri sana ila ttzo lako unatoa hoja huku umekariri majibu yako badala ya kutafakari ya wennzako
Merungu akugenji.Ni majina tu hayo yasikutishe, hata sisi wapare tunatumia Mrungu tukimaanisha Mungu.
ChediMerungu akugenji.
Ai namnani
Katika vita hivi vya Israeli na Palestina nimejifunza kitu kimoja.
Vita hivi vinapiganwa kimwili na kiimani.
Baada ya kuona video kazaa za akina mama wa Israeli wakimlilia yeweh awasaidie katika mapambano hayo washinde wao.
Ivo ivo kwa upande wawapelstina na ndugu zangu waislam nao wanamlilia allah wao awasaidie katika mapambano haya washinde.
Sisi watu ambao tulimpoteza Mungu wetu.
Tunaangalia yupi Mungu wa kweli hapa.
Atakaye shinda ndo kunapatikana Mungu wa kweli.