soma report acha porojo unadhani wazungu wana ushabiki maandazi kama wako, mtu kapigwa , kapigwa tu watu wote si wameona kasoro nyie kondoo wa mwamposa ndio hamtumiagi akili, juzi juzi blair kakiri na kaomba msamaha kwamba vita ya iraq was a mistake walidanganywa na kaomba msamaha , hao ndio wazungu, na ukiangalia nchi 2 za kwanza duniani zilizopewa nafasi nyingi za kuingia marekani kwa miaka mitano nyuma ni za kiarabu ikiwemo afghanistan , ingekuwa wewe na chuki zako nadhani ungesema waarabu wasiingie marekani, wazungu hawapo sawa na ngozi nyeusi ambao mmejaa hisia na mihemuko , sasa mtu watu wote wameona kabondwa vibaya wewe unasema uongo, una akili kweli