kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,793
- 5,042
Katika vita hivi vya Israeli na Palestina nimejifunza kitu kimoja.
Vita hivi vinapiganwa kimwili na kiimani.
Baada ya kuona video kazaa za akina mama wa Israeli wakimlilia yeweh awasaidie katika mapambano hayo washinde wao.
Ivo ivo kwa upande wawapelstina na ndugu zangu waislam nao wanamlilia allah wao awasaidie katika mapambano haya washinde.
Sisi watu ambao tulimpoteza Mungu wetu.
Tunaangalia yupi Mungu wa kweli hapa.
Atakaye shinda ndo kunapatikana Mungu wa kweli.
Vita hivi vinapiganwa kimwili na kiimani.
Baada ya kuona video kazaa za akina mama wa Israeli wakimlilia yeweh awasaidie katika mapambano hayo washinde wao.
Ivo ivo kwa upande wawapelstina na ndugu zangu waislam nao wanamlilia allah wao awasaidie katika mapambano haya washinde.
Sisi watu ambao tulimpoteza Mungu wetu.
Tunaangalia yupi Mungu wa kweli hapa.
Atakaye shinda ndo kunapatikana Mungu wa kweli.