Yupi Mungu wa kweli Allah and Yaweh

Yupi Mungu wa kweli Allah and Yaweh

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,793
Reaction score
5,042
Katika vita hivi vya Israeli na Palestina nimejifunza kitu kimoja.
Vita hivi vinapiganwa kimwili na kiimani.
Baada ya kuona video kazaa za akina mama wa Israeli wakimlilia yeweh awasaidie katika mapambano hayo washinde wao.
Ivo ivo kwa upande wawapelstina na ndugu zangu waislam nao wanamlilia allah wao awasaidie katika mapambano haya washinde.
Sisi watu ambao tulimpoteza Mungu wetu.
Tunaangalia yupi Mungu wa kweli hapa.
Atakaye shinda ndo kunapatikana Mungu wa kweli.
 
Katika vita hivi vya Israeli na palestina nimejifunza kitu kimoja
Vita hivi vinapiganwa kimwili na kiimani
Baada ya kuona video kazaa za akina mama wa Israeli wakimlilia yeweh hawasaidie katika mapambano hayo washinde wao
Ivo ivo kwa upande wawapelstina na ndugu zangu waislam nao wanamlilia allah wao awasaidie katika mapambano haya washinde
Sisi watu ambao tulimpoteza Mungu wetu
Tunaangalia yupi Mungu wa kweli hapa
Atakaye shinda ndo Mungu wa kweli
aisee
 
Katika vita hivi vya Israeli na palestina nimejifunza kitu kimoja
Vita hivi vinapiganwa kimwili na kiimani
Baada ya kuona video kazaa za akina mama wa Israeli wakimlilia yeweh awasaidie katika mapambano hayo washinde wao
Ivo ivo kwa upande wawapelstina na ndugu zangu waislam nao wanamlilia allah wao awasaidie katika mapambano haya washinde
Sisi watu ambao tulimpoteza Mungu wetu
Tunaangalia yupi Mungu wa kweli hapa
Atakaye shinda ndo kunapatikana Mungu wa kweli
Yahweh, Jehova, Elohim.....
Mungu aliyejifunua Kwa nyakati tofauti ki-agano,ndie Mungu wa kweli na wapeke!
Aliyeziumba Mbingu na Dunia,na vyote vilivyomo!

Subiri mpk mwisho uone nani atasaidika na Mungu wake!
 
Sasa Mbona mna mungu wengi sana Kuna Yahweh,Yahovah ,Elohim, Elshadai n.k
Chagueni mmoja tujue yupi
Hakuna Mungu wengi sbb ya majina!
Unatakiwa ujue Mungu alijifunua Kwa majina tofauti Kila alipokua anafanya agano na watu wake na kutaka kujijulisha kwao ye ni nani nk.

Ukisoma hayo majina kwenye biblia utaona hayakutokea tu ...
 
Hakuna Mungu wengi sbb ya majina!
Unatakiwa ujue Mungu alijifunua Kwa majina tofauti Kila alipokua anafanya agano na watu wake na kutaka kujijulisha kwao ye ni nani nk.

Ukisoma hayo majina kwenye biblia utaona hatakutokea tu ...
Ok sawa..
Cha kwanza kabla sijaendelea una uelewa wowote wa Lugha ya Kihebrania au Kiaramaic ili tuanze kueleweshana vizuri...

Maana kuna sehemu majina unayosema yametumika eti kutokana na Maagano hapo unadanganya..
Katika uumbaji jina la Mungu lilikuwa אלהים..
na baada ya kuumbwa ulimwengu ghafla jina jingine likaibuka na kuwa יהוה אלהים


unaweza kueleza hiyo coincedence na kwanini..
kuchange kutoka Elohim kuja kuwa Yahova elohim
Screenshot_20231102-081423.png

Screenshot_20231102-081453.png
 
Yahweh- "He Who Makes That Which Has Been Made
Elohim-godhood
Elshadai-God almighty
Unaweza kunipa tofauti kati ya Yehova na Yahweh
Na kingine unafahamu kuwa..

Eloh-Mungu (Kwa jinsia ya kiume)
Eloha-Mungu (Kwa jinsia ya kike)
Na neno Im katika kihebrania uashiria wingi
Kwahiyo nieleze Elohim (ni wingi) wa Mungu au?

Na kama sababu yako utakayotoa hapo juu ni kweli...

Kwanini Yesu Alipokuwa Msalabani alillia Eloh, Eloh akiashiria Mungu mmoja...
Na kwanini Asingelia Elohim Elohim
 
Mungu ni mmoja tu nae ndio aliyoumba mbingu na aridhi na viumbe vyote

Waisrael waliacha kufuta uislam ambayo ndio dini ya Babu zao Yani Ibrahim, Isihaka na Jacobo wakazusha dini Yao Kwa maslahi wanayoyajua wao na sio kama hawajui wanajua sana illa ni jeuri Yao tu

Quran 2:40 -
Enyi Wana wa Israili! Kumbukeni neema yangu niliyo kuneemesheni, na timizeni ahadi yangu, na Mimi nitatimiza ahadi yenu, na niogopeni Mimi tu.

Quran 2:41 -
Na aminini niliyo yateremsha ambayo yanasadikisha mliyo nayo, wala msiwe wa kwanza kuyakataa. Wala msiuze Ishara zangu kwa thamani ndogo. Na niogopeni Mimi tu.
 
Mungu ni mmoja tu nae ndio aliyoumba mbingu na aridhi na viumbe vyote

Waisrael waliacha kufuta uislam ambayo ndio dini ya Babu zao Yani Ibrahim, Isihaka na Jacobo wakazusha dini Yao Kwa maslahi wanayoyajua wao na sio kama hawajui wanajua sana illa ni jeuri Yao tu

Quran 2:40 -
Enyi Wana wa Israili! Kumbukeni neema yangu niliyo kuneemesheni, na timizeni ahadi yangu, na Mimi nitatimiza ahadi yenu, na niogopeni Mimi tu.

Quran 2:41 -
Na aminini niliyo yateremsha ambayo yanasadikisha mliyo nayo, wala msiwe wa kwanza kuyakataa. Wala msiuze Ishara zangu kwa thamani ndogo. Na niogopeni Mimi tu.

Toka kipindi cha musa wayahudi wana dini yao
Na jengo lao ni ekalu sio msikiti watu mnapenda cheo saana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom