Yupi Mungu wa kweli Allah and Yaweh

Yupi Mungu wa kweli Allah and Yaweh

Israeli atapigwa kwasababu wamemuacha YHWH na kukubali Usodomy.

Hivyo YHWH atawatia mikononi mwa waarabu na hali zao zitakuwa mbaya kama Ukraine.

Isaya 45:17

Lakini taifa la Israeli litaokolewa na Mwenyezi-Mungu, litapata wokovu wa milele. Halitaaibishwa wala kufadhaishwa milele.

Mungu sio kigeugeu kuwa atabadirika
 
Katika vita hivi vya Israeli na Palestina nimejifunza kitu kimoja.
Vita hivi vinapiganwa kimwili na kiimani.
Baada ya kuona video kazaa za akina mama wa Israeli wakimlilia yeweh awasaidie katika mapambano hayo washinde wao.
Ivo ivo kwa upande wawapelstina na ndugu zangu waislam nao wanamlilia allah wao awasaidie katika mapambano haya washinde.
Sisi watu ambao tulimpoteza Mungu wetu.
Tunaangalia yupi Mungu wa kweli hapa.
Atakaye shinda ndo kunapatikana Mungu wa kweli.
Sasa hawa waisrael si walimuua mungu wa wakristo au? Na hawataki ukristo nchini kwao ingawa wakristo hasa wa tanzania wanajipendekeza, hadi sasa wakristo israel ni 1% huku waislamu ni 18% na wanavyouchukia ukristo kila siku idadi inazidi kupungua
 
Isaya 45:17

Lakini taifa la Israeli litaokolewa na Mwenyezi-Mungu, litapata wokovu wa milele. Halitaaibishwa wala kufadhaishwa milele.

Mungu sio kigeugeu kuwa atabadirika
Mungu huyohuyo aliwatia Wana wa Israeli mikononi mwa Nebuchadnezzar baada ya Nabii Isaya kufa.
Wajua kwanini? Uovu.

Mungu sio kigeukigeu na ameweka sheria zake , usipozifuata, laana inakuandama na ukizifuata baraka na ulinzi zitafuatana na wewe.
 
Sasa hawa waisrael si walimuua mungu wa wakristo au? Na hawataki ukristo nchini kwao ingawa wakristo hasa wa tanzania wanajipendekeza, hadi sasa wakristo israel ni 1% huku waislamu ni 18% na wanavyouchukia ukristo kila siku idadi inazidi kupungua

Sawa Ila andiko ili alitabadirika kamwe nyinyi jichanganyeni tu

Isaya 45:17

Lakini taifa la Israeli litaokolewa na Mwenyezi-Mungu, litapata wokovu wa milele. Halitaaibishwa wala kufadhaishwa milele.
 
Mungu huyohuyo aliwatia Wana wa Israeli mikononi mwa Nebuchadnezzar baada ya Nabii Isaya kufa.
Wajua kwanini? Uovu.

Mungu sio kigeukigeu na ameweka sheria zake , usipozifuata, laana inakuandama na ukizifuata baraka na ulinzi zitafuatana na wewe.

Ivi unajua nini maana ya milele au
Kama wanayo nguvu waende tu wajichanganye na wao wajifanye Nebuchadnezzar
Wakione cha moto [emoji2][emoji23][emoji30]
 
Sawa Ila andiko ili alitabadirika kamwe nyinyi jichanganyeni tu

Isaya 45:17

Lakini taifa la Israeli litaokolewa na Mwenyezi-Mungu, litapata wokovu wa milele. Halitaaibishwa wala kufadhaishwa milele.
Limeshaaibishwa mara nyingi tu mwaka 2006 waliaibika na hadi sasa wanaaibika huoni jana hadi wabunge waliangua vilio baada ya kuona kikosi kizima kimeteketezwa, haya maandiko kaandika muisrael mwenyewe kujilinda hawa watu janja janja sana
 
Huu mjadala tutawajua wenye hoja na wabwatukaji,wenye ufahamu wa dini na wafuata mikimbo,wenye kuamini njia ya kweli na wenye kurithi dini za wazazi wao. OVER!
Wewe ndio mchambuzi ujuwe yupi ni ypi na kipi ni kipi.

Hizi imani jau sana.
 
Limeshaaibishwa mara nyingi tu mwaka 2006 waliaibika na hadi sasa wanaaibika huoni jana hadi wabunge waliangua vilio baada ya kuona kikosi kizima kimeteketezwa, haya maandiko kaandika muisrael mwenyewe kujilinda hawa watu janja janja sana

Sawa propaganda zenu [emoji2][emoji23][emoji30][emoji16] Nani hawajui [emoji23][emoji30][emoji2][emoji16] ninacho kijua Gaza wanapewa kipiga basi hayo mengine ni propaganda [emoji2][emoji23][emoji30]
 
Sawa propaganda zenu [emoji2][emoji23][emoji30][emoji16] Nani hawajui [emoji23][emoji30][emoji2][emoji16] ninacho kijua Gaza wanapewa kipiga basi hayo mengine ni propaganda [emoji2][emoji23][emoji30]
MKuu fuatili media za kimataifa utajifunza mengi walizima internet ili habari wawe wanatoa wao tu ili kudanganya ulimwengu ila mungu kawezesha internet palestina wamepata na habari tunazipata
 
MKuu fuatili media za kimataifa utajifunza mengi walizima internet ili habari wawe wanatoa wao tu ili kudanganya ulimwengu ila mungu kawezesha internet palestina wamepata na habari tunazipata

Sawa ivyo ndivyo tunavyo taka endeleeni na propaganda zenu hatutaki kuona video za kutaka kuonewa huruma [emoji2][emoji23][emoji30]
 
Katika vita hivi vya Israeli na Palestina nimejifunza kitu kimoja.
Vita hivi vinapiganwa kimwili na kiimani.
Baada ya kuona video kazaa za akina mama wa Israeli wakimlilia yeweh awasaidie katika mapambano hayo washinde wao.
Ivo ivo kwa upande wawapelstina na ndugu zangu waislam nao wanamlilia allah wao awasaidie katika mapambano haya washinde.
Sisi watu ambao tulimpoteza Mungu wetu.
Tunaangalia yupi Mungu wa kweli hapa.
Atakaye shinda ndo kunapatikana Mungu wa kweli.
109


Qur'an 17:110.
Sema: Mwombeni Allah (Mwenyezi Mungu), au mwombeni Rahman (Mwingi wa Rehema), kwa jina lolote mnalo mwita. Kwani Yeye ana majina mazuri mazuri. Wala usitangaze Sala yako kwa sauti kubwa, wala usiifiche kwa sauti ndogo, bali shika njia ya kati na kati ya hizo. 110
 
Katika vita hivi vya Israeli na Palestina nimejifunza kitu kimoja.
Vita hivi vinapiganwa kimwili na kiimani.
Baada ya kuona video kazaa za akina mama wa Israeli wakimlilia yeweh awasaidie katika mapambano hayo washinde wao.
Ivo ivo kwa upande wawapelstina na ndugu zangu waislam nao wanamlilia allah wao awasaidie katika mapambano haya washinde.
Sisi watu ambao tulimpoteza Mungu wetu.
Tunaangalia yupi Mungu wa kweli hapa.
Atakaye shinda ndo kunapatikana Mungu wa kweli.

Kwa sababu umehusianisha suala lako na vita inayoendelea Israel
Naomba nikusaidie tu kuwa;
Israel hakuna Wakristo badala yake kuna Waislam kama 20% na waliobakia ni Jewish
Turudi kwenye mada; Katika kuwatoa waisrael Misri kwenda Kaanan; Mara zote Mussa aliwafundisha kumuabudu Mungu mmoja, asiye na mshirika na ambaye hafanani na kitu chochote ambapo huyo Mungu ndiye waislam wanamuita Allah.
Mara kadhaa wakielekea Kaanan, Waisrael walijaribu kuja na Miungu wengine ikiwemo Ngombe wa shaba ambapo Mussa aliwakemea kwa uwezo wake wote. Hadi sasa Waisrael wanaofuata mafundisho ya Mussa (Waislam) ni kama 20% na waliobakia wameamua kufuata Miungu wengine (Jewish)
Kwa maana hiyo, wanaofuata Mungu wa kweli ni wanaofuata mafundisho ya Mussa
 
Hakuna anayetaka huruma yako

Hahahahahaha wazee wafree palestina pambaneni Acheni propaganda au mumesau Israeli kupiga mataifa sijui ma sita ya kiarabu kwa wakati mmoja tena jichanganyeni ili awafyatuwe vizuri kabisa
 
Kwa sababu umehusianisha suala lako na vita inayoendelea Israel
Naomba nikusaidie tu kuwa;
Isael hakuna Wakristo badala yake kuna Waislam kama 20% na waliobakia ni Jewish

Sisi hatuna shida na ilo tunacho kijua Israeli anawapiga basi
 
Hahahahahaha wazee wafree palestina pambaneni Acheni propaganda au mumesau Israeli kupiga mataifa sijui ma sita ya kiarabu kwa wakati mmoja tena jichanganyeni ili awafyatuwe vizuri kabisa
Sawa na yeye mbona alitandikwa na mgambo wa hezbollah 2006 hadi kaomba cease fire
 
Katika vita hivi vya Israeli na Palestina nimejifunza kitu kimoja.
Vita hivi vinapiganwa kimwili na kiimani.
Baada ya kuona video kazaa za akina mama wa Israeli wakimlilia yeweh awasaidie katika mapambano hayo washinde wao.
Ivo ivo kwa upande wawapelstina na ndugu zangu waislam nao wanamlilia allah wao awasaidie katika mapambano haya washinde.
Sisi watu ambao tulimpoteza Mungu wetu.
Tunaangalia yupi Mungu wa kweli hapa.
Atakaye shinda ndo kunapatikana Mungu wa kweli.
Mungu wa kweli atakua AllahYaweh
 
Sawa na yeye mbona alitandikwa na mgambo wa hezbollah 2006 hadi kaomba cease fire

Hizo ni propaganda
Just imagine nchi ambayo inatwanga 6+ countries ije kupigwa na kikundi cha wanamgambo ambao wanatumia mikuki sio silaha [emoji23][emoji30][emoji23]
Any way ao sijui hezbollah wapo waambie waende kusaidia palestina Israeli inawasubiri [emoji30][emoji23][emoji2]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom