kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,793
- 5,042
- Thread starter
- #41
Israeli atapigwa kwasababu wamemuacha YHWH na kukubali Usodomy.
Hivyo YHWH atawatia mikononi mwa waarabu na hali zao zitakuwa mbaya kama Ukraine.
Isaya 45:17
Lakini taifa la Israeli litaokolewa na Mwenyezi-Mungu, litapata wokovu wa milele. Halitaaibishwa wala kufadhaishwa milele.
Mungu sio kigeugeu kuwa atabadirika