Mr Rocky! Umesahau na mifugo.Yummy karibu hapa mlangoni mwa nyumba yangu utakuta talaka zako milioni moja wapelekee watu wa kijijini mwako wote uwaambie umeachwa rasmi mpelekee mama na baba yako na dada yako na mke wa kaka yako na babu yako na mjumbe wa mtaa na balozi na mjukuu wa bibi na kitukuu cha babu na jirani yako na dada yako na mwanafunzi uliyesoma nae msingi kuwa umeachwa rasmi na jamaa mmoja anaitwa Mr Rocky
Mr Rocky! Umesahau na mifugo.
Amesahau alivyotangaza humu ooooh Bishanga amefilisika,
kumbe alikuwa anajitafutia njia lol.
mandenyi si nilienda mgodini kutafuta ngawira sasa
KARIA katoka huko alikotoka anakutongoza mchana kweupe hivyo bana tena mbele ya watoto
Asprin naye ana mapacha! sasa sijui watoto hawa baba yao halisi ni nani? Kwa kuwasaidia nimeliona hilo na ndio maana nakaamua kuvaa mabomu ili kujitoa muhanga kwa ajili yake asali wa moyo wangu Yummy!
We subiri waje hapa uone wakatavyokusuta. wanaipendaje bakora yao??
KARIA we ngoja wazaliwe wakiwa na pua limeenda kushoto watakuwa wa Asprin ila ikiwa imeenda kulia ni wa kwangu Asprin we endelea kulelea ila mi nafaidi kwa muda wanguAsprin naye ana mapacha! sasa sijui watoto hawa baba yao halisi ni nani? Kwa kuwasaidia nimeliona hilo na ndio maana nakaamua kuvaa mabomu ili kujitoa muhanga kwa ajili yake asali wa moyo wangu Yummy!
Unategemea nikuachie hiki kifaa kirahisi??
Mi nakushauri ujaribu bahati yako kwa Cantalisia. Rejao kishafulia.hahahahah hata kama Asprin
Tutapambana kwa hali na mali kujua nani ni nani