lui03152
JF-Expert Member
- Nov 27, 2020
- 250
- 338
Baada ya mwaka kukamilika tangu mfuko huu kuanzishwa na bei ikiwa 100 tu kwa kipande enzi hizo, hii leo 2024 kipande kinauzwa kwa tsh 111.
Hii ina maana kwa mtu aliyeweka 50mil wakati huo leo anavuna 5.5m wakati huohuo mtaji wake wa 50m uko palepale...tuchangamkie hii fursa jamani.
View attachment 2946102
Hii ina maana kwa mtu aliyeweka 50mil wakati huo leo anavuna 5.5m wakati huohuo mtaji wake wa 50m uko palepale...tuchangamkie hii fursa jamani.
View attachment 2946102