hivi asprin ana totoz ngapi humu na iweje hata totoz zenyewe hazigombani wao kwa wao au ana kimzizi nini anatembea nacho
Heeee we utaanza kunifanya nikuonee huruma sasa khaaa!!!
Lol, lol.......njoo kwa PM nikupatie jibu muafaka kwanini hatugombani.
Jamani Yummy mbona kimya mno la aziz! Funguka nafsi yangu ipate tulia!
umepotea leo, upo?? au ulifichwa kunako mapango??
Hivi Karia,wake za watu unawatakia nini?
Hivi hujui hata huyo Asprin wenu anazuga? Unaijua sehemu moja inaitwa Nanjinjiri huko Liwale? Ushawahi sikia mtu anageuzwa nyoka?
na ma4some yetu je??
mwambie akukome! ebo!Kuna mtu kanikera humu.
halafu sijui kaenda wapi mara ya mwisho nilimuacha kule NSSF sijui anafanya nini
Yaani utakuwa umecheza heko kinoma! Namwoneaje huruma babu baada ya kupigwa kibuti!
Am watching.....