Yumkini kesi hii ni kati ya Lissu na Rais Samia

Yumkini kesi hii ni kati ya Lissu na Rais Samia

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
17,276
Reaction score
23,568
Mbona kesi hii inaendelea kupigwa tarehe tu kila siku bila kikomo?

Mbona Mahakama haitaki kuipeleka kesi hii panapohusika haswa, yaani Mahakama Kuu?

Kwanini Mahakama Kuu inakuwa na kigugumizi na kushindwa kutoa uamuzi mara moja hadi mtuhumiwa mwenyewe anaomba kesi iende mbele kwenye Mahakama kuu?

Je, kuna mpago wa kumweka Lissu kizuizini hadi baada ya uchaguzi mkuu October mwaka huu?

Nachelea kusema pengine kesi hii ni kati ya Lissu na Samia kupitia Polisi na majaji wa Mahakama ya Tanzania.
 
Mbona kesi hii inaendelea kupigwa tarehe tu kila siku bila kikomo?

Mbona Mahakama haitaki kuipeleka kesi hii panapohusika haswa, yaani Mahakama Kuu?

Kwanini Mahakama Kuu inakuwa na kigugumizi na kushindwa kutoa uamuzi mara moja hadi mtuhumiwa mwenyewe anaomba kesi iende mbele kwenye Mahakama kuu?

Je, kuna mpago wa kumweka Lissu kizuizini hadi baada ya uchaguzi mkuu October mwaka huu?

Nachelea kusema pengine kesi hii ni kati ya Lissu na Samia kupitia Polisi na majaji wa Mahakama ya Tanzania.
Nimemuonea Huruma sana Advocate
 
Mbona kesi hii inaendelea kupigwa tarehe tu kila siku bila kikomo?

Mbona Mahakama haitaki kuipeleka kesi hii panapohusika haswa, yaani Mahakama Kuu?

Kwanini Mahakama Kuu inakuwa na kigugumizi na kushindwa kutoa uamuzi mara moja hadi mtuhumiwa mwenyewe anaomba kesi iende mbele kwenye Mahakama kuu?

Je, kuna mpago wa kumweka Lissu kizuizini hadi baada ya uchaguzi mkuu October mwaka huu?

Nachelea kusema pengine kesi hii ni kati ya Lissu na Samia kupitia Polisi na majaji wa Mahakama ya Tanzania.
Lisu ni tishio kwa joka kuu ndo maana wameamua kumficha kwa kumsingizia kesi isiyo na dhamana
 
Mbona kesi hii inaendelea kupigwa tarehe tu kila siku bila kikomo?

Mbona Mahakama haitaki kuipeleka kesi hii panapohusika haswa, yaani Mahakama Kuu?

Kwanini Mahakama Kuu inakuwa na kigugumizi na kushindwa kutoa uamuzi mara moja hadi mtuhumiwa mwenyewe anaomba kesi iende mbele kwenye Mahakama kuu?

Je, kuna mpago wa kumweka Lissu kizuizini hadi baada ya uchaguzi mkuu October mwaka huu?

Nachelea kusema pengine kesi hii ni kati ya Lissu na Samia kupitia Polisi na majaji wa Mahakama ya Tanzania.
Wewe kwani ulikuwa hujui hili??
 
Mbona kesi hii inaendelea kupigwa tarehe tu kila siku bila kikomo?

Mbona Mahakama haitaki kuipeleka kesi hii panapohusika haswa, yaani Mahakama Kuu?

Kwanini Mahakama Kuu inakuwa na kigugumizi na kushindwa kutoa uamuzi mara moja hadi mtuhumiwa mwenyewe anaomba kesi iende mbele kwenye Mahakama kuu?

Je, kuna mpago wa kumweka Lissu kizuizini hadi baada ya uchaguzi mkuu October mwaka huu?

Nachelea kusema pengine kesi hii ni kati ya Lissu na Samia kupitia Polisi na majaji wa Mahakama ya Tanzania.

Weponizing of the judiciary
Samia anavunja katiba
Kumuweka mpinzani wako jela ili upate ushindi kuchaguliwa.

Wote wanaoruhusu hili wanaweza kuwa impeached hapo baadaye pamoja na Jaji Mkuu na Mwanasheria mkuu.
 
Unafikiri kwa lile vuguvugu lake la No reforms no election lingeachwa mpaka leo, si hayo maccm yangekuwa yanapumulia mashine! Hali ilishaanza kuwa tete kutokana na muamko mkubwa watu kujitokeza kwenye mikutano ya Chadema ili kusikiliza madini kutoka kwa viongozi wa chama.
 
Kuna mama mmoja shetani ndiye anayemtesa mtetea haki, Lisu. Kuna shetani kwa umbile la mwanamke ndiyo anayewatesa Watanganyika kwa namna tofauti tofauti.
 
Uko SAHIHI
sa100.jpg
 
Unafikiri kwa lile vuguvugu lake la No reforms no election lingeachwa mpaka leo, si hayo maccm yangekuwa yanapumulia mashine! Hali ilishaanza kuwa tete kutokana na muamko mkubwa watu kujitokeza kwenye mikutano ya Chadema ili kusikiliza madini kutoka kwa viongozi wa chama.
Tena sana.
Na usifikiri NO REFORM, NO ELECTION imezimika. IPO hai sana. Wakati mwafaka itanyanyuka kama bomu la Nuklia, ambalo Samia na GENGE lake hawataweza kulizuia.

Sasa hivi inawala ndani kwa ndani; kimya kimya. Subiri tu wakilazimisha uchaguzi hiyo Oktoba bila ya marekebisho; uone kitakachotokea.
 
Weponizing of the judiciary
Samia anavunja katiba
Kumuweka mpinzani wako jela ili upate ushindi kuchaguliwa.

Wote wanaoruhusu hili wanaweza kuwa impeached hapo baadaye pamoja na Jaji Mkuu na Mwanasheria mkuu.
mimi nasubiri tu hiyo baadae. Uhalifu wa wazi namna hii siyo wa kuunyamazia.
 
Back
Top Bottom