Jamani Asanteni,
Ila nilichojifunza ni kwamba tukipewa ofisi, tufanye kazi na kuwajibika.
Yani mtu unaweza kuharibu sifa ya ofisi yako sababu ya kuchukulia vitu poa.
Yule Mama anasema Maboss wa NMB walikuwa hawana taarifa , jambo limefika kwao limeisha fasta na amepewa hati yake kirahisi kabisa
Ila mmetisha sana asanteni sana kwa support yenu nimeiona nguvu ya mtandao
Link ya kilichotokea⬇️
Ila nilichojifunza ni kwamba tukipewa ofisi, tufanye kazi na kuwajibika.
Yani mtu unaweza kuharibu sifa ya ofisi yako sababu ya kuchukulia vitu poa.
Yule Mama anasema Maboss wa NMB walikuwa hawana taarifa , jambo limefika kwao limeisha fasta na amepewa hati yake kirahisi kabisa
Ila mmetisha sana asanteni sana kwa support yenu nimeiona nguvu ya mtandao
Link ya kilichotokea⬇️
NMB wagoma kurudisha hati ya nyumba, japo deni lao limeshalipwa lote
Juzi rafiki yangu alikuwa ananipa stori kuhusu mama yake. Alichukua mkopo NMB kama miaka 5 iliyopita, akaweka hati ya nyumba yake kama dhamana. Uyo Mama kahangaika sana hadi akalipa deni lote, AJABU NMB SENGEREMA hawataki kumpa hati yake. Mbona kama nanusa mchezo mchafu? Inakuwaje benki kubwa...
www.jamiiforums.com