Yule mama amerejeshewa hati yake iliyokaa bank ya NMB kwa miaka 5

Nyabukika

JF-Expert Member
Jun 15, 2022
1,443
1,045
Jamani Asanteni,

Ila nilichojifunza ni kwamba tukipewa ofisi, tufanye kazi na kuwajibika.

Yani mtu unaweza kuharibu sifa ya ofisi yako sababu ya kuchukulia vitu poa.

Yule Mama anasema Maboss wa NMB walikuwa hawana taarifa , jambo limefika kwao limeisha fasta na amepewa hati yake kirahisi kabisa

Ila mmetisha sana asanteni sana kwa support yenu nimeiona nguvu ya mtandao

Link ya kilichotokea⬇️

 
Jamani Asanteni,

Ila nilichojifunza ni kwamba tukipewa ofisi, tufanye kazi na kuwajibika.

Yani mtu unaweza kuharibu sifa ya ofisi yako sababu ya kuchukulia vitu poa.

Yule Mama anasema Maboss wa NMB walikuwa hawana taarifa , jambo limefika kwao limeisha fasta na amepewa hati yake kirahisi kabisa

Ila mmetisha sana asanteni sana kwa support yenu nimeiona nguvu ya mtandao
Walitaka kumtapeli,
 
Jamani Asanteni,

Ila nilichojifunza ni kwamba tukipewa ofisi, tufanye kazi na kuwajibika.

Yani mtu unaweza kuharibu sifa ya ofisi yako sababu ya kuchukulia vitu poa.

Yule Mama anasema Maboss wa NMB walikuwa hawana taarifa , jambo limefika kwao limeisha fasta na amepewa hati yake kirahisi kabisa

Ila mmetisha sana asanteni sana kwa support yenu nimeiona nguvu ya mtandao
Kumbe walikua wanafahamu vizuri ila viral ya mtandao inewatisha huenda wakapoteza ajira bure.
 
Jamani Asanteni,

Ila nilichojifunza ni kwamba tukipewa ofisi, tufanye kazi na kuwajibika.

Yani mtu unaweza kuharibu sifa ya ofisi yako sababu ya kuchukulia vitu poa.

Yule Mama anasema Maboss wa NMB walikuwa hawana taarifa , jambo limefika kwao limeisha fasta na amepewa hati yake kirahisi kabisa

Ila mmetisha sana asanteni sana kwa support yenu nimeiona nguvu ya mtandao
Nguvu ja JF ndio hii....ikiwezekana zile hela wanazokula uviko 19 Ziletwe JF wazitumia kusupport operation zao maana huku kana wananchi wengi zaidi ya Majimbo 19
 
Jamani Asanteni,

Ila nilichojifunza ni kwamba tukipewa ofisi, tufanye kazi na kuwajibika.

Yani mtu unaweza kuharibu sifa ya ofisi yako sababu ya kuchukulia vitu poa.

Yule Mama anasema Maboss wa NMB walikuwa hawana taarifa , jambo limefika kwao limeisha fasta na amepewa hati yake kirahisi kabisa

Ila mmetisha sana asanteni sana kwa support yenu nimeiona nguvu ya mtandao
JF siyo mchezo nasikia nape yuko pale ana piga story mbili tatu
 
Jamani Asanteni,

Ila nilichojifunza ni kwamba tukipewa ofisi, tufanye kazi na kuwajibika.

Yani mtu unaweza kuharibu sifa ya ofisi yako sababu ya kuchukulia vitu poa.

Yule Mama anasema Maboss wa NMB walikuwa hawana taarifa , jambo limefika kwao limeisha fasta na amepewa hati yake kirahisi kabisa

Ila mmetisha sana asanteni sana kwa support yenu nimeiona nguvu ya mtandao

Link ya kilichotokea⬇️

Aisee kudadeki matapeli ni wengi sana nchi hii
 
Jamani Asanteni,

Ila nilichojifunza ni kwamba tukipewa ofisi, tufanye kazi na kuwajibika.

Yani mtu unaweza kuharibu sifa ya ofisi yako sababu ya kuchukulia vitu poa.

Yule Mama anasema Maboss wa NMB walikuwa hawana taarifa , jambo limefika kwao limeisha fasta na amepewa hati yake kirahisi kabisa

Ila mmetisha sana asanteni sana kwa support yenu nimeiona nguvu ya mtandao

Link ya kilichotokea⬇️

Na mkeo akikuzingua njooo huku ndioo mwishoo wa matatizo tukupe somo ufanyaje ila si kumpiga dili na vinchenchede atakuheshimu....8
 
Jamani Asanteni,

Ila nilichojifunza ni kwamba tukipewa ofisi, tufanye kazi na kuwajibika.

Yani mtu unaweza kuharibu sifa ya ofisi yako sababu ya kuchukulia vitu poa.

Yule Mama anasema Maboss wa NMB walikuwa hawana taarifa , jambo limefika kwao limeisha fasta na amepewa hati yake kirahisi kabisa

Ila mmetisha sana asanteni sana kwa support yenu nimeiona nguvu ya mtandao

Link ya kilichotokea⬇️

Wanatakiwa wamuombe radhi na kumlipa hela ya usumbufu wa muda na mapato ambayo angepata kama wangemrejeshea mapema
 
Back
Top Bottom