Yule Jasusi Aliyetoa Breaking News Tarehe 12 March Tukatangaziwa Tarehe 17 March, ametoa Breaking News Kule Jasusi TV

Yule Jasusi Aliyetoa Breaking News Tarehe 12 March Tukatangaziwa Tarehe 17 March, ametoa Breaking News Kule Jasusi TV

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
57,103
Reaction score
128,723
Wanabodi
Zamani JF ndio ilikuwa ya kwanza kwa ma Breaking News, lakini sasa...!

Yule member wetu, Jasusi, Aliyetoa Breaking News ile siku ya Tarehe 12 March mwaka ule, Taifa tukatangaziwa Tarehe 17 March, Leo ametoa Breaking News nyingine Kule kwenye youtube channel yake ya Jasusi TV, sijui hii Breaking News ya leo, kama tutakuja kutangaziwa rasmi?, ila Breaking News yake ya Machi 12, taifa tulitangaziwa rasmi tarehe 17 March, hivyo niliuliza Thread 'Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?' Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?

Na Kusema Ukweli nilishauri aitwe shujaa, Thread 'Silent Hero Huyu ni Mzalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Ndie Aliyefanya Katiba Ifuatwe Mama Akawa!. Apewe Maua Yake!... Stahiki ni kuwa DGIS in Future!' Silent Hero Huyu ni Mzalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Ndie Aliyefanya Katiba Ifuatwe Mama Akawa!. Apewe Maua Yake!... Stahiki ni kuwa DGIS in Future!

Ili kujiepusha JF kuwa kijiwe cha umbeya, ili uijue hiyo Breaking News yake ya leo, itakubidi umtembelee Jasusi kwenye youtube yake!.

Na mwisho namuuliza member mwenzetu Mkuu Jasusi mbona siku hizi huleti ma Breaking News huku jf kama zamani?.

Paskali
 
Wanabodi
Zamani JF ndio ilikuwa ya kwanza kwa ma Breaking News, lakini sasa...!

Yule member wetu, Jasusi, Aliyetoa Breaking News ile siku ya Tarehe 12 March mwaka ule, Taifa tukatangaziwa Tarehe 17 March, Leo ametoa Breaking News nyingine Kule kwenye youtube channel yake ya Jasusi TV, sijui hii Breaking News ya leo, kama tutakuja kutangaziwa rasmi?, ila Breaking News yake ya Machi 12, taifa tulitangaziwa rasmi tarehe 17 March, hivyo niliuliza Thread 'Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?' Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?

Na Kusema Ukweli nilishauri aitwe shujaa, Thread 'Silent Hero Huyu ni Mzalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Ndie Aliyefanya Katiba Ifuatwe Mama Akawa!. Apewe Maua Yake!... Stahiki ni kuwa DGIS in Future!' Silent Hero Huyu ni Mzalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Ndie Aliyefanya Katiba Ifuatwe Mama Akawa!. Apewe Maua Yake!... Stahiki ni kuwa DGIS in Future!

Ili kujiepusha JF kuwa kijiwe cha umbeya, ili uijue hiyo Breaking News yake ya leo, itakubidi umtembelee Jasusi kwenye youtube yake!.

Na mwisho namuuliza member mwenzetu Mkuu Jasusi mbona siku hizi huleti ma Breaking News huku jf kama zamani?.

Paskali
Jasusi wa JF ndo Jasusi wa kule YouTube?
 
Silencing dissent

Exclusive: Abducted Tanzanian former ambassador Humphrey Polepole is dead – sources​

By Honoré Banda

1760147882442.jpeg

Photo : Tanzanian ex-ambassador Humphrey Hesron Polepole

Tanzanian military, political and security sources privy to ex-ambassador Humphrey Polepole’s abduction tell The Africa Report that he died shortly after from serious injuries he suffered when he was attacked..

Source : The AfricaReport

1760148042443.jpeg

1760148276999.jpeg
 
Watu wengi wako kwenye DENIAL kwamba jamaa hawawezi kumuua.

Ila ukweli ni kwamba kwa damage aliyoifanya, mmhhhh.
Hapana.
Polepole hajafanya 'damage' cha kufanya atekwe, au hata kuuawa; tena wakati 'critical' kabisa kama huu!

Hii ni kama kuna mtu "ANATIBUA" maksudi kabisa; anaongeza/anachochea moto mambo yazidi kuwa magumu zaidi kwa Samia na Genge lake.

Huu siyo muda wa kufanya jambo kama hili. Polepole hakuwa na taarifa mbaya zaidi ya zote alizokuwa amekwisha zitoa, na watu walikuwa tayari hawastuki na habari alizoendelea kuzitoa.

Sasa kwa nini 'timing' ya kumteka iwe wakati huu; tena wakati Samia huyo huyo akizunguka kufanya vioja vya kampeni!
Atawaeleza nini, hata hao watu wa CCM kwamba mmoja wao katekwa na kuuliwa kwenye kampeni hizo.

Kwani kama ni hasira tu kwa yale aliyosema Polepole, isingewezekana kuvuta subira hadi baada ya Oktoba 29?

Kumteka na kumuua Polepole wakati huu kunaleta manufaa gani kwa kampeni za Samia?

Kutia hofu/woga kwa wengine wenye mawazo kama ya Polepole?

Haiwezi kuwa kwamba hata wale CCM waliokuwa tayari wameamua kumvumilia Samia, na wao sasa roho zao zikawa ngumu dhidi yake?

This could be a self- inflicted damage..

Ambayo kwetu sisi wengine tunaoililia Tanzania yetu tunaona kuwa ni nafuu kwa mzigo huu unaoielemea nchi yetu chini ya utawala huu wa kishetani kabisa.
 
Back
Top Bottom