Yule dada ninayempenda bado ananipa wakati mgumu

Yule dada ninayempenda bado ananipa wakati mgumu

mimituu

Member
Joined
Nov 5, 2012
Posts
61
Reaction score
0
Kama nilivyosema awali (Kuna dada nilimpenda sana, ila nilishindwa kumuoa kwa sababu ya elimu ndogo aliyonayo; kipindi hicho sikujua ndoa ni zaidi ya elimu, ndio nimetambua sasa; nimekubali makosa kwa kuwa nimeshaoa-kwa sasa nilikuwa najitahidi kumsahau lakini nashindwa!!!!!), Leo nimempigia simu nikafurahi pale alipoipokea. Hata nilivyoisikia sauti yake nilisikia amani moyoni mwangu!!!! na kujaribu kumuomba msamaha; lengo langu ni ili basi aendelee kuwa karibu yangu. Lakini KAKATAA KABISA, Nazidi kuumia nifanyeje wa JF????? UKWELI NIMESHAOA KWA NDOA YA KIKRISTO-ILA NINAMPENDA SANA HUYU BINTI AMBAYE SIKUMUOA, NAOMBENI MSAADA TAFADHALI.
Unaweza pia kunitumia e-mail: hamasisha30@yahoo.com
 
Mwaga vocha, mwaga mizawadi, mwaga outing za nguvu. weka nyumba ndogo
 
Sasa umeshaoa unataka awe karibu na wewe ili iweje? kama ulimuona si wa muhimu na elimu ndogo ndo basi usitake kumuharibia binti wa watu mwelekeo wa maisha kwani hutamuoa zaidi utamchezea tu! achana na hiyo mambo concentrate kwa mkeo na familia yako!
 
Kazi kwako,
si umesema unampenda;
na mke pia unaye;

Ngoja waje wale wa ushauri
yasije kunikuta ya anastazia mie.
 
Sasa umeshaoa unataka awe karibu na wewe ili iweje? kama ulimuona si wa muhimu na elimu ndogo ndo basi usitake kumuharibia binti wa watu mwelekeo wa maisha kwani hutamuoa zaidi utamchezea tu! achana na hiyo mambo concentrate kwa mkeo na familia yako!

thread closed!
 
ukristo hauruhusu wake zaidi ya mmoja!! so futa namba yake!!
 
wanaume wengine sijui wakoje?
we muache mwenzio ajenge maisha yake huko alaaa
 
endelea kumpenda mwny elimu kubwa huyu mwny elimu ndogo waachie wenzio watakaoona elimu haina nafac kwny mapenz.

huwa mnanikwaza nyie mnaosema nilimuacha kwa sababu ya elimu sasa mke mwy elimu c umempata bado unahangaika nn?

lazma umeona mwny elimu hana lolote, acheni kuangalia jamii inapenda uwe na mtu wa aina gani angalia moyo wako unampenda nani, mh ulikuwa unapenda kusikia "ameoa mwanamke msomi"

SASA kaa na msomi wako tulia mwache dada wa watu apate atakayempenda kwa dhati bla kujali elimu yk
 
Kama nilivyosema awali (Kuna dada nilimpenda sana, ila nilishindwa kumuoa kwa sababu ya elimu ndogo aliyonayo; kipindi hicho sikujua ndoa ni zaidi ya elimu, ndio nimetambua sasa; nimekubali makosa kwa kuwa nimeshaoa-kwa sasa nilikuwa najitahidi kumsahau lakini nashindwa!!!!!), Leo nimempigia simu nikafurahi pale alipoipokea. Hata nilivyoisikia sauti yake nilisikia amani moyoni mwangu!!!! na kujaribu kumuomba msamaha; lengo langu ni ili basi aendelee kuwa karibu yangu. Lakini KAKATAA KABISA, Nazidi kuumia nifanyeje wa JF????? UKWELI NIMESHAOA KWA NDOA YA KIKRISTO-ILA NINAMPENDA SANA HUYU BINTI AMBAYE SIKUMUOA, NAOMBENI MSAADA TAFADHALI.
Unaweza pia kunitumia e-mail: hamasisha30@yahoo.com
Mimi ninakushauri uende kwa mchungaji au padri mkatengue ndoa yenu. Ili uwe naye.
Kama huwezi kufanya hivyo achana na mtoto wa watu usimchafulie maisha yake. Maana wewe una dharau sana
Tafuta wimbo wa Lesi wa nika Amigo.


 
Last edited by a moderator:
Kama nilivyosema awali (Kuna dada nilimpenda sana, ila nilishindwa kumuoa kwa sababu ya elimu ndogo aliyonayo; kipindi hicho sikujua ndoa ni zaidi ya elimu, ndio nimetambua sasa; nimekubali makosa kwa kuwa nimeshaoa-kwa sasa nilikuwa najitahidi kumsahau lakini nashindwa!!!!!), Leo nimempigia simu nikafurahi pale alipoipokea. Hata nilivyoisikia sauti yake nilisikia amani moyoni mwangu!!!! na kujaribu kumuomba msamaha; lengo langu ni ili basi aendelee kuwa karibu yangu. Lakini KAKATAA KABISA, Nazidi kuumia nifanyeje wa JF????? UKWELI NIMESHAOA KWA NDOA YA KIKRISTO-ILA NINAMPENDA SANA HUYU BINTI AMBAYE SIKUMUOA, NAOMBENI MSAADA TAFADHALI.
Unaweza pia kunitumia e-mail: hamasisha30@yahoo.com
Dah hayo maneno niloyamark yananiumiza moyo sana!!!:disapointed::disapointed:
HEBU ACHA KUJIENDEKEZA WEWE UMESHAOA SASA naona unataka kuiweka ndoa yako majaribuni!!Unataka kuniambia upo tayari umuache mkeo uoe huyo unaempenda ama?Nijibu hilo kwanza kisha nitakushauri!!
 
Kama nilivyosema awali (Kuna dada nilimpenda sana, ila nilishindwa kumuoa kwa sababu ya elimu ndogo aliyonayo; kipindi hicho sikujua ndoa ni zaidi ya elimu, ndio nimetambua sasa; nimekubali makosa kwa kuwa nimeshaoa-kwa sasa nilikuwa najitahidi kumsahau lakini nashindwa!!!!!), Leo nimempigia simu nikafurahi pale alipoipokea. Hata nilivyoisikia sauti yake nilisikia amani moyoni mwangu!!!! na kujaribu kumuomba msamaha; lengo langu ni ili basi aendelee kuwa karibu yangu. Lakini KAKATAA KABISA, Nazidi kuumia nifanyeje wa JF????? UKWELI NIMESHAOA KWA NDOA YA KIKRISTO-ILA NINAMPENDA SANA HUYU BINTI AMBAYE SIKUMUOA, NAOMBENI MSAADA TAFADHALI.
Unaweza pia kunitumia e-mail: hamasisha30@yahoo.com

Uzinzi tu ndio unakusumbua hamna cha zaidi. Nampongeza bidada kwa kukataa ombi lako. Unaweza kulipa maumivu uliyomsababishia wakati unamuacha?
 
Hukumpenda hata mwanzo maana elimu mtu hazaliwi nayo,ungekuwa na nia nae ungemuendeleza.
Muache mwenzio aishi maisha yake nawe do the same na familia yako.
 
Kama kweli unampenda either umuache mkeo umuoe yeye au muache dada wa watu aendelee na maisha yake wewe ulishamdharau na kumuumiza basi usimuumize tena. What is done is done.
 
Usitumie mda mwng kumuwaza,jitahd kumwonyesha mapenz mkeo,kua bze kujenga familia yko pia kazania ibada. Usipoendekeza kumuwaza bika shaka utapiga hatua kuanza kumsahau.
 
human needs are never satsfied, wakati mwingine ni bora kuwa binadamu mwenye njaa kuliko kuwa nguruwe aliyeshiba.
 
non sense bora ukosee kuchagua mpenzi kuliko kukosea kuchagua mke.ushakosea kuchagua cha msingi mbadilishe mkeo awe kama huyo asiye na elimu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom