Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 2,896
- 4,311
Nandy hasikiki? Unaakili wewe!!Ni kweli Mkuu ndiyo maana tunaona toka Rubby alipojitoa kwa Ruge amezidi kung’aa, na hivi Ruge kafariki so hawezi kubaniwa popote basi kazidi kufanikiwa sana sana sio Ruby yule...si ndiyo ehee.
Na yule Nandy aliekuwa anabebwa ndiyo kaporomoka hata hasikiki
hujaelewa comment ya huyu jamaaNandy hasikiki? Unaakili wewe!!
Wakati Nandy na Rubby, Nandy ndiye anatamba for now
Nandy yupo kwenye chart
😂😂😂Uandishi ni sanaa inategemea unaitumia vipi... Ruge ni indicator, Mond ni headlight..Harmo ni dim.. Je umepata picha?
Kunywa pepsi baridi kisha rudi usome comment ya jamaaNandy hasikiki? Unaakili wewe!!
Wakati Nandy na Rubby, Nandy ndiye anatamba for now
Nandy yupo kwenye chart
Wow, Salute Mshana JrHuwezi kuona thamani ya kitu mpaka siku ukikose!
Wako wapi wasanii wale waliopiga kelele kuwa wanashindwa kung'ara kwakuwa marehemu Ruge alikuwa anawanyonya? Wengi nawaona wakiwa na hali mbaya kuliko hata kipindi cha kunyonywa na marehemu.
Soma kwa utulivu hiyo comment, Kuna kitu haujakielewaNandy hasikiki? Unaakili wewe!!
Wakati Nandy na Rubby, Nandy ndiye anatamba for now
Nandy yupo kwenye chart
Ruge alisoma USA hivyo brain yake iliandaliwa kutumika dunia ya kwanza.
Kwetu huku bado saana kutengeneza mtu Kama huyo
Nandy hasikiki? Unaakili wewe!!
Wakati Nandy na Rubby, Nandy ndiye anatamba for now
Nandy yupo kwenye chart
Siyo kila anayesoma anaelewa kilichoandikwa, msamehe.
Kamaanisha Rubby yupo kwenye chart kuliko Nandy au nimesoma vbayahujaelewa comment ya huyu jamaa
Kasema Rubby ndiye yupo on stream kuliko NandyNaamini hujamuelewa
Sorry mkuu