Mwamba yupo anajifua na kuweka nondo zake Sawa ili akianza noma akinukishe kweli kweli

Uchaguzi ujao Mbowe na utapeli wake akae pembeni amuache Kamanda aipatie nchi kinacho staili
2025 wapinzani hawatasimasha mgombea kiti cha urais,
Watamuunga mkono atakayesimamishwa na chama tawala.
Wapinzani wataelekeza nguvu ubunge na udiwani.
 
Tusemapo "Baba yetu uliye mbinguni jina lako litukuzwe..." jee tunakufuru?

Maana kumwita hivyo tayari tumemaanisha sisi ni wana wa Mungu tayari!

Wakati mwingine punguzeni chuki zenu kwa Lissu.

Lissu ni mwana wa Mungu kama mimi na wengine tunaomwabudu Mungu, wewe kama sio basi ni wewe!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Maandiko yanaposema atendaye dhambi ni wa ibilisi unadhani yamekosea?
 
Chacha Wange Je?
Nyie chawa ipo siku tutawashangaza sana, mnajua uchungu wa mzazi alie beba mimba mwezi tisa na kumlea mtoto fika level ya Ben ? Hujuhi uchungu wewe kaa kimya ,Rais kwa kua ni mama anajua hili , acheni ujinga wakichawa sasa nitaanzisha kampein ya Ben sio mda ,tuna mtaka
 
Ukisikia kuwa Samia ni mwanasiasa aliyewiva basi indicators zake ni kama hizi. Leo Lissu anatafutwa kwa vile hasikiki.

Hasikiki kwa vile Samia ameruhusu kika kitu vyama vya upinzani vifanye. Karuhusu shughuli za vyama vya siasa, karuhusu maandamano. Wamefanya maandamano Arusha, Mwanza, Mbeya na Dar es Salaam, matokeo ya maandamano yao wanayajuwa wenyewe.

Laiti Samia angewakatalia kufanya maandamano basi sasa hivi ungesikia kila siku kwenye social media wakidai maandamano.

Hapo ndipo unatambua kuwa Urais wa Tanzania hauhitaji mabavu na kuua wapinzani kama alivyokuwa anafanya Magufuli bali unahitaji akili na busara tu
Mkuu pindi Magufuli alipo kuwa ana uwa wewe ulikuwepo,au na wewe ni mmoja ya watu walio uliwa?
 
Ukisikia kuwa Samia ni mwanasiasa aliyewiva basi indicators zake ni kama hizi. Leo Lissu anatafutwa kwa vile hasikiki.

Hasikiki kwa vile Samia ameruhusu kika kitu vyama vya upinzani vifanye. Karuhusu shughuli za vyama vya siasa, karuhusu maandamano. Wamefanya maandamano Arusha, Mwanza, Mbeya na Dar es Salaam, matokeo ya maandamano yao wanayajuwa wenyewe.

Laiti Samia angewakatalia kufanya maandamano basi sasa hivi ungesikia kila siku kwenye social media wakidai maandamano.

Hapo ndipo unatambua kuwa Urais wa Tanzania hauhitaji mabavu na kuua wapinzani kama alivyokuwa anafanya Magufuli bali unahitaji akili na busara tu
Wewe nae ni mpumbavu usiejua kuchanganua mambo, kwa hiyo wewe unataka kila siku Lissu awe mtaani au kwenye vyombo vya habari Just kuwafurahisheni nyie wapumbavu? Sa100 mbona ni rais ila ndani ya siku hizi mbili hasikiki? Sio kila time unakuwa kwa media kenge wewe
 
Wewe nae ni mpumbavu usiejua kuchanganua mambo, kwa hiyo wewe unataka kila siku Lissu awe mtaani au kwenye vyombo vya habari Just kuwafurahisheni nyie wapumbavu? Sa100 mbona ni rais ila ndani ya siku hizi mbili hasikiki? Sio kila time unakuwa kwa media kenge wewe
Ndiyo maisha waliyochagua, ku-trend kwenye vyombo vya habari.
 
Back
Top Bottom