Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Nilikuwa nasikiliza radio. Hata hivyo bado nasikiliza. Ni ka kchibo kangu baada ya ngeleja kunitokea hadi muda huu akini haunt (kiswahili chake sijui ni kipi). Sasa nikamsikia mwana fa na wimbo wake wa miaka hiyoo wa mabinti. Fikra zikarudi nyuma nikamkumbuka huyu mrembo wa enzi hizo-Tabasamu. Alishiriki karibu mashindano yote yaliyoitwa ya urembo. Kipindi hicho niko Moshi, bwana mdogo, nikimsoma tu magazetini. Nakumbuka alikuwa mzurii halafu black beauty. Yupo huyu mrembo wa enzi hizo?