PostGE2025 Yuko Wapi Stephen Wassira - Think Tank na Strategist Mkuu wa CCM?

PostGE2025 Yuko Wapi Stephen Wassira - Think Tank na Strategist Mkuu wa CCM?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Sitakuumiza Kamwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2025
Posts
446
Reaction score
1,392
Kabla ya MO 29 huyu mzee alikuwa ndiye sura ya CCM na alichomoza kama think tank na strategist mkuu wa CCM mara nyingi akitoa maneno ya dharau mpaka kujitapa kuwa CCM kitatawala mpaka Yesu atakaporudi.

Siku ya maandamano nasikia vijana wazalendo walipita pale nyumbani kwake Bunda kumsalimia na japo hawakumkuta lakini waliacha salamu. Ajabu kuanzia wakati huo hasikiki tena. Je, ni salamu zile zilimtisha au yuko busy akipanga mikakati mipya ya chama baada ya ushindi wa kihistoria wa chama chake?

20251124_074523.png
 
Kabla ya MO 29 huyu mzee alikuwa ndiye sura ya CCM na alichomoza kama think tank na strategist mkuu wa CCM mara nyingi akitoa maneno ya dharau mpaka kujitapa kuwa CCM kitatawala mpaka Yesu atakaporudi.

Siku ya maandamano nasikia vijana wazalendo walipita pale nyumbani kwake Bunda kumsalimia na japo hawakumkuta lakini waliacha salamu. Ajabu kuanzia wakati huo hasikiki tena. Je, ni salamu zile zilimtisha au yuko busy akipanga mikakati mipya ya chama baada ya ushindi wa kihistoria wa chama chake?

View attachment 3506630
Pale nyumba iliisha na kwasasa anaanza ujenzi upya. Kwa lodge ya bulaya napo palisalimiwa na pakaisha teketea kabisa
 
Mzee alizima ghafla baada ya kupigiwa simu kuwa nyumba yake imepigwa kiberiti ndiyo maana familia yake wamemsihi apumzike na ishu za siasa
Ingependeza kama salaam walizompa Mzee Wassira Gombe vijana walipopitia nyumbani kwake Bunda; mgetuonesha kwenye kapicha!
 
Ingependeza kama salaam walizompa Mzee Wassira Gombe vijana walipopitia nyumbani kwake Bunda; mgetuonesha kwenye kapicha!
Siungi mkono hoja yako ya Picha, maana zime cost maisha ya wachache.

Salam ziendelee, ila update ni macho yako tu.
 
Back
Top Bottom