Yuko wapi Sheikh Mkuu wa Dar?

Yuko wapi Sheikh Mkuu wa Dar?

sijawahi kusikia kiongozi yeyote wa upinzani akikemea matusi ya Yule bidada wa ulaya;

Au kuna faida wanayoipata kutokana na hiyo matusi.

Inamaana upinzani wanategemea matusi ili kuingia ikulu??
Aisee.... unajidhalilisha kiongozi...
Ungepiga kimya tu..
 
Mara ya mwisho nasikia alionekana maeneo ya ubalozi wa Trump akitafuta Visa ili ampandie yule dada
 
sijawahi kusikia kiongozi yeyote wa upinzani akikemea matusi ya Yule bidada wa ulaya;

Au kuna faida wanayoipata kutokana na hiyo matusi.

Inamaana upinzani wanategemea matusi ili kuingia ikulu??
Wakusudia kusema kwamba kanyamazishwa na Mange?
 
Mbona kimya hivi Sheikh Mkuu wa BAKWATA Dar? Ni kipindi kirefu hatujasikia matamko yake. Kipindi hiki ambacho tumekuwa na sintofahamu kuhusu usalama na amani ya nchi kwa hakika alivyokuwa msemaji sana hangenyamaza bila kutoa kauli.

Imekuwaje?
Kama risasi ya akwilin vile, dua ya sheikh nayo imekata kona ikamrudia mwenyewe, kawa kimya yeye badala ya mange.
 
sijawahi kusikia kiongozi yeyote wa upinzani akikemea matusi ya Yule bidada wa ulaya;

Au kuna faida wanayoipata kutokana na hiyo matusi.

Inamaana upinzani wanategemea matusi ili kuingia ikulu??
Hopeless and the utter nonsense.
 
Mbona kimya hivi Sheikh Mkuu wa BAKWATA Dar? Ni kipindi kirefu hatujasikia matamko yake. Kipindi hiki ambacho tumekuwa na sintofahamu kuhusu usalama na amani ya nchi kwa hakika alivyokuwa msemaji sana hangenyamaza bila kutoa kauli.

Imekuwaje?
Acha tu ustazi apumzike! Lile timbwili alilokutana nalo sio la mchezo!
 
Mbona kimya hivi Sheikh Mkuu wa BAKWATA Dar? Ni kipindi kirefu hatujasikia matamko yake. Kipindi hiki ambacho tumekuwa na sintofahamu kuhusu usalama na amani ya nchi kwa hakika alivyokuwa msemaji sana hangenyamaza bila kutoa kauli.

Imekuwaje?
Hakuna cheo cha Sheikh Mkuu wa Mkoa, bali kuna Sheikh wa Mkoa. Sheikh Mkuu ni mmoja tu MUFTI
 
sijawahi kusikia kiongozi yeyote wa upinzani akikemea matusi ya Yule bidada wa ulaya;

Au kuna faida wanayoipata kutokana na hiyo matusi.

Inamaana upinzani wanategemea matusi ili kuingia ikulu??
Kiongozi yupi wa dini ulishawahi kumsikia akimkemea? Kama wanaomkemea ni wa fisiemu peke yao... dada yangu nakushauri kesho usisahau kubeba pedi... tarehe zako zimeshafika
 
Wewe unamtakia una mambo yako binafsi. Nenda ofisini kwake utamkuta
 
Back
Top Bottom