Tairi bovu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 3,063
- 2,986
alivyokuwa anawatusi kina lowasa kipindi cha kampeni 2015 mlimkemea?sijawahi kusikia kiongozi yeyote wa upinzani akikemea matusi ya Yule bidada wa ulaya;
Au kuna faida wanayoipata kutokana na hiyo matusi.
Inamaana upinzani wanategemea matusi ili kuingia ikulu??
una stroke ya ubongo wewe sio bure