Yuko wapi Sheikh Mkuu wa Dar?

Yuko wapi Sheikh Mkuu wa Dar?

sijawahi kusikia kiongozi yeyote wa upinzani akikemea matusi ya Yule bidada wa ulaya;

Au kuna faida wanayoipata kutokana na hiyo matusi.

Inamaana upinzani wanategemea matusi ili kuingia ikulu??
Wewe jamaa umezaliwa leo?
Au supu ya maharagwe ya chato imekudumaza?

Huyu unamjua da Mange?
Yule hachagui. Hana chama. Hana rafiki.
Yule anamuheshimu tu dr Mwele Malecela basi.
Wengine ukimtaja tu umeishaaaaa.

Unataka kuniambia viongozi wa upinzani hawaogopi kuanikwa?

Toeni matamko nyie wenyewe wa Lumumba.

Ila tuambie sheikh yuko wapiii????
 
Mbona kimya hivi Sheikh Mkuu wa BAKWATA Dar? Ni kipindi kirefu hatujasikia matamko yake. Kipindi hiki ambacho tumekuwa na sintofahamu kuhusu usalama na amani ya nchi kwa hakika alivyokuwa msemaji sana hangenyamaza bila kutoa kauli.

Imekuwaje?
Shikamoo MangeKimambi a.k.a jiwe kuu la pembeni

Jiwe walilolikataa waashi,Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni.Naye aangukaye juu ya jiwe hilo atavunjika-vunjika; naye ye yote ambaye litamwangukia, litamsaga tikitiki
 
Sasa hivi anaogopa kusema sema ovyo ovyo asije akasema ya watu na watu wakasema yake, Chezea Mage Kimambi wewe!.
 
sijawahi kusikia kiongozi yeyote wa upinzani akikemea matusi ya Yule bidada wa ulaya;

Au kuna faida wanayoipata kutokana na hiyo matusi.

Inamaana upinzani wanategemea matusi ili kuingia ikulu??
Alitengenezwa 2015 lakini hakukatazwa.kinyago hicho aliyekichonga 2015 mbaya sana.
 
sijawahi kusikia kiongozi yeyote wa upinzani akikemea matusi ya Yule bidada wa ulaya;

Au kuna faida wanayoipata kutokana na hiyo matusi.

Inamaana upinzani wanategemea matusi ili kuingia ikulu??
Hiyo kwako ndio umeona hoja au? Matusi!! Kwani matusi ndio yanayosababisha kubinywa kwa demokrasia, au ndio yanasababisha maisha kuwa magumu, dawa kukosa hospital, watu kutekwa, wengine kuuliwa na kupigwa risasi? Mbona una akili finyu sana, mbona hushangai hao viongozi wa serikali yako hawakemei haya mambo? Au kwakuwa yanafanywa na kiongozi wa malaika? Eti matusi, Dada mkuu wetu hawzi kutukana, na kama katukana ujue amefika kwenye critical point. Mbona hata Masauni alitukana watu, kuwa wanaruka ukuta au hamkusikia hayo? Mkuu wa malaika mbona anatukana tena huku anatishia hauoni.
 
Alionywa lakn hakusikia akjifanya kidume ......ila jamaa alijua kuchimba mkwara daah et mwkan hafiki kama yy ndo .......shubaamit!!!!
 
alijifanya mjuaji na mtoto wa mjini, akaingia choo cha kike sasa imebidi ajifiche ilikuficha nye------t-----i---------zake, chezea mange
 
sijawahi kusikia kiongozi yeyote wa upinzani akikemea matusi ya Yule bidada wa ulaya;

Au kuna faida wanayoipata kutokana na hiyo matusi.

Inamaana upinzani wanategemea matusi ili kuingia ikulu??
Wewe nawee! Sheikh unamlinganisha na Mange?
 
sijawahi kusikia kiongozi yeyote wa upinzani akikemea matusi ya Yule bidada wa ulaya;

Au kuna faida wanayoipata kutokana na hiyo matusi.

Inamaana upinzani wanategemea matusi ili kuingia ikulu??
Umesahau wakati wa uchaguzi alivyokuwa anatukana? Kweli wahenga hawakukosea mkuki kwa nguruwe...........
 
Mm ni muislam ila sheikh mpuuzi kweli yule

Anastahili alichopata kutoka kwa mange

Istoshe sheikh hawi shoga
 
sijawahi kusikia kiongozi yeyote wa upinzani akikemea matusi ya Yule bidada wa ulaya;

Au kuna faida wanayoipata kutokana na hiyo matusi.

Inamaana upinzani wanategemea matusi ili kuingia ikulu??
Kipindi 2015 alivyokuwa anawatukana hao wapinzani, viongozi (serikali) ilichukua hatua gani? Tena kipindi hicho alikuwepo hapa hapa nchini
 
sijawahi kusikia kiongozi yeyote wa upinzani akikemea matusi ya Yule bidada wa ulaya;

Au kuna faida wanayoipata kutokana na hiyo matusi.

Inamaana upinzani wanategemea matusi ili kuingia ikulu??
Kama uoni faida muulize shekhe kilicho mziba mdomo kutoa matamko ni ninii ?
 
sijawahi kusikia kiongozi yeyote wa upinzani akikemea matusi ya Yule bidada wa ulaya;

Au kuna faida wanayoipata kutokana na hiyo matusi.

Inamaana upinzani wanategemea matusi ili kuingia ikulu??
Khaaa, eti viongozi wa upinzani watoe tamko, kwani ugomvi wa Mange na Shehe ulihusu vyama gani vya siasa? Na kwani Magufuli au kicheche Polepole au Naibu Rais Makonda uliwasikia wakikemea?
 
Hahahhaaahaaa
20180319_074758.png

Upo sheikhh
 
Back
Top Bottom