Yuko wapi Sheikh Mkuu wa Dar?

Yuko wapi Sheikh Mkuu wa Dar?

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,949
Reaction score
74,431
Mbona kimya hivi Sheikh Mkuu wa BAKWATA Dar? Ni kipindi kirefu hatujasikia matamko yake. Kipindi hiki ambacho tumekuwa na sintofahamu kuhusu usalama na amani ya nchi kwa hakika alivyokuwa msemaji sana hangenyamaza bila kutoa kauli.

Imekuwaje?
 
Mbona kimya hivi sheikh mkuu wa Bakwata Dar? Ni kipindi kirefu hatujasikia matamko yake.
Kipindi hiki ambacho tumekuwa na sintofahamu kuhusu usalama na amani ya nchi kwa hakika alivyokuwa msemaji sana hangenyamaza bila kutoa kauli.
Imekuwaje?
Umewahi kushuhudia kipisi cha sigara kinavyounguza lori la petrol la lita 30,000!
 
sijawahi kusikia kiongozi yeyote wa upinzani akikemea matusi ya Yule bidada wa ulaya;

Au kuna faida wanayoipata kutokana na hiyo matusi.

Inamaana upinzani wanategemea matusi ili kuingia ikulu??
Mimi sijawahi kuona kiongozi wa CCM asiyetowa au kushangiria matusi yanapotolewa! Eg. Mafala, wapumbavu, vinyago, kamuoneshe mkeo etc
 
sijawahi kusikia kiongozi yeyote wa upinzani akikemea matusi ya Yule bidada wa ulaya;

Au kuna faida wanayoipata kutokana na hiyo matusi.

Inamaana upinzani wanategemea matusi ili kuingia ikulu??
Mbona sijasikia kiongozi wwte wa ccm akikemea wizi wa kura bara na visiwan, kwan ccm inategemea police na NEC kwenye wizi(kubeba na kuridisha sanduku) wa kura ili iendelee kubaki madarakani kibabe?
 
sijawahi kusikia kiongozi yeyote wa upinzani akikemea matusi ya Yule bidada wa ulaya;

Au kuna faida wanayoipata kutokana na hiyo matusi.

Inamaana upinzani wanategemea matusi ili kuingia ikulu??


Tutajie kiongozi mmoja tu wa CCM aliyewahi kukemea hayo matusi ya huyo dada. Au bado ni mwanachama wenu?
 
Mbona kimya hivi Sheikh Mkuu wa BAKWATA Dar? Ni kipindi kirefu hatujasikia matamko yake. Kipindi hiki ambacho tumekuwa na sintofahamu kuhusu usalama na amani ya nchi kwa hakika alivyokuwa msemaji sana hangenyamaza bila kutoa kauli.

Imekuwaje?
Labda Mange Kimambi kamfanya apige kimya....
 
Back
Top Bottom