Yuko wapi mwandishi na mwanaharakati Johnson Mbwambo?

Yuko wapi mwandishi na mwanaharakati Johnson Mbwambo?

Makosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
1,183
Reaction score
2,624
Ni mmoja ya watu waliokuwa wananivutia kama sio kunishawishi kulinunua gazeti la Raia Mwema kutokana na uandishi wa makala zake zenye mguso wa kijamii lakini ni kipindi kirefu sana sijapata kuona makala zake.

Sijui yuko wapi?

Mtujuze huyu mzee yuko wapi? maana nimepunguza hata speed ya kununua gazeti.

cc mwanga lutila
 
Last edited by a moderator:
Wasiliana na wahariri wa gazeti hilo kupitia mawasiliano ya gazeti husika ktk bodi ya uhariri. Bila shaka utajua liliko jembe hilo.
 
Back
Top Bottom