Mavipunda
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 6,916
- 7,520
Huyu msanii jina lake halisi silijui ila alikuwa na heka heka sana enzi hizo. Mara ya mwisho alikuwa anaishi Sinza kwa jimama moja kama marioo na alimfukuza kwake baada ya kufilisi duka alilomuachia.
Huyu msanii alikuwa muongo sana na mjivuni kuna interview yake moja pale Channel Ten alidai yeye alisomea masuala ya utengenezaji wa ndege kule South Africa.
Je huyu msanii yuko wapi kwa sasa au amerudia kazi yake ya uganga wa kienyeji.
Huyu msanii alikuwa muongo sana na mjivuni kuna interview yake moja pale Channel Ten alidai yeye alisomea masuala ya utengenezaji wa ndege kule South Africa.
Je huyu msanii yuko wapi kwa sasa au amerudia kazi yake ya uganga wa kienyeji.