Yuko wapi Mama yetu Janeth Magufuli?

Status
Not open for further replies.
Alikuwepo kwenye Mfugale 'fly over' ! Una jingine ?
 
Mama Maria Nyerere = Mama Janet. Sawa. Hawa n ma-first ladies wa ukweli.

Mama Mkapa, Mwinyi na Kikwete walikuwa n "waizi." Hawa walitumia nafasi za waume zao, kufanya biashara ikulu na walikuwa n janga kwa taifa __ dhambi kubwa. Watu wa namna hii wala hatuwataki. Ss tulichagua Rais, hatukuchagua First Lady!

Mama Janette kwa sasa, anahudumia mama mkwe wake baada ya dada wa president kufariki dunia. Anatimiza majukumu yaliyomtoa kwao...
 
Mama ni mtu mwenye huruma daima. Inawezekana kabisa yanayotokota chunguni, yanamfanya hasifurahie, kukaa jikoni.
 
Sema mmemiss kuwatukana first ladies kama ilivyokuwa kwa waliopita..huyu mama hana taasisi yoyote ya kufanyia shughuli zake kama ilivyo wama ya salma kikwete au eotf ya anna mkapa..akifungua taasisi kama hizo mtahoji pesa katoa wapi..kwa kifupi hana pesa za kumfanya ajitokeze kufanya shughuli za kijamii..maana shughuli hizo zinahitaji pesa.
 
tuna mtu mmoja tu. ww aongee nn au afanye nn? wengine wakikosea hudharilishwa na kutumbuliwa kwa kauli zao na matendo yao kama hayatabalikiwa au yakiendana na kiki, sasa huyo mama akikosea itakuwaje unafikiri? we are in family stability
 
MAMBO MENGINE HAYATUHUSU
SISI TUNATAKA UTAWALA BORA,MAENDELEO NA MIUNDO MBINU BORA
Hayo ya ndoa na mapenzi yao yanawahusu wao
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…