Yuko wapi Mama yetu Janeth Magufuli?

Yuko wapi Mama yetu Janeth Magufuli?

Status
Not open for further replies.

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,842
Reaction score
31,073
Yuko wapi mama yetu huyo, Janeth Magufuli?

Hilo ndilo swali tunalojiuliza watanzania baada ya kutomuona siku nyingi katika matukio ya kisiasa ya nchini kwetu

Tulizoea kuwaona maFirst Lady akina Mama Salma Kikwete, Mama Anna Mkapa, Mama Sitti Mwinyi na hata Mama yetu wa awamu ya kwanza Mama Maria Nyerere wakiwa very active na shughuli za waume zao ambao walikuwa ni marais katika awamu zilizopita, wakati hali ni tofauti sana katika awamu hii, ambapo mama huyo ambaye ni First Lady wa awamu hii Mama Janeth Magufuli amekuwa kimya sana, ndiyo maana tunajiuliza kulikoni, yuko wapi Mama yetu huyo?

Kwa kuwa kuna msemo unaosema IN EVERY MAN's SUCCESS THERE IS A WOMAN BEHIND
 
Piga simu ikulu uwaulize.
Sina sababu ya kupiga simu Mkuu Nyani Ngabu..........

Kama wewe unajua kinachomsibu Mama yetu huyo kiasi cha kumfanya awe so cool, basi naomba uwajulishe Umma wa watanzania ambao wana hamu ya kumuona akiwa active na shughuli za kisiasa za nchi hii, kama ilivyo kawaida ya maFirst Lady wa nchi hii waliomtangulia
 
Sina sababu ya kupiga simu Mkuu Nyani Ngabu..........

Kama wewe unajua kinachomsibu Mama yetu huyo kiasi cha kumfanya awe so cool, basi naomba uwajulishe Umma wa watanzania ambao wana hamu ya kumuona akiwa active na shughuli za kisiasa za nchi hii, kama ilivyo kawaida ya maFirst Lady wa nchi hii waliomtangulia

Kama huna sababu ya kupiga simu basi sidhani nia yako ya kutaka kujua mke wa rais yuko wapi, ni ya dhati.

Unaandika tu hapa ili wewe na wenzako mpate upenyo wa kuanza kumponda Magufuli kupitia jina la mkewe.

Shameful.
 
1538272352203.jpeg
 
Kama huna sababu ya kupiga simu basi sidhani nia yako ya kutaka kujua mke wa rais yuko wapi, ni ya dhati.

Unaandika tu hapa ili wewe na wenzako mpate upenyo wa kuanza kumponda Magufuli kupitia jina la mkewe.

Shameful.
Mkuu Nyani Ngabu unawezaje kutabiri kuwa lengo la post hii ni kumponda Magufuli?

Mimi kama mtanzania ni wajibu wangu kudadisi na kutaka kujua "whereabouts" za watu wetu maarufu

Au ndiyo kusema "limekuchoma" kwa maana ya "Guilty are always unconscious"
 
Kama huna sababu ya kupiga simu basi sidhani nia yako ya kutaka kujua mke wa rais yuko wapi, ni ya dhati.

Unaandika tu hapa ili wewe na wenzako mpate upenyo wa kuanza kumponda Magufuli kupitia jina la mkewe.

Shameful.

shame on you
 
Sina sababu ya kupiga simu Mkuu Nyani Ngabu..........

Kama wewe unajua kinachomsibu Mama yetu huyo kiasi cha kumfanya awe so cool, basi naomba uwajulishe Umma wa watanzania ambao wana hamu ya kumuona akiwa active na shughuli za kisiasa za nchi hii, kama ilivyo kawaida ya maFirst Lady wa nchi hii waliomtangulia
....huu umma ulikutana nao wapi !?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom